Kipi kitatokea endapo Tanzania itawekewa vikwazo vya kiuchumi?

Kwa yale ninayoyafahamu mimi, amini usiamini, upende au usipende Tanzania KAMWE haitowekewa vikwazo vyovyote vya kiuchumi...

Nina wahakikishia Watanzania wote ndani na nje, Tanzania KAMWE haiwezi kuwekewa vikwazo na nawaomba endeleeni kufanya kazi kuliendeleza Taifa la Tanzania na wale Watanzania wasioitakia mema Taifa letu wote watashindwa kama walivyoshindwa wengine. Tanzania imeundwa haswa ndani mpaka nje ya mipaka yake, na Tanzania itazidi kuwa imara na kuwa Taifa huru lenye nguvu hapa Afrika na duniani kwa ujumla.

Na kwa vile Tanzania KAMWE haiwezi kuwekewa vikwazo basi haina haja kujadili unayoyasema hapa...

Wakuu naomba tujadili hili, maana kama indicator tumeshawashiwa...

Je ni athari gani tutapata kama nchi na kwa mtu mmoja mmoja!

Kutokana na hali tete ya uchumi tuliyonayo je tukianguka kabisa itakuwa rahisi kuinuka??

NB: Mods msiunganishe huu uzi, pengine tutapata hapa namna ya kujiandaa na yajayo na kufunga mkanda!!
 
Mkuu lakini mbona mambo unayosema wanatuingilia ni mambo ya msingi... kwanini haki ya msingi za kiraia zibinywe? Kwanini wapinzani wageuzwe kuwa wahaini?
Hizi sheria za mitandao na takwimu zinalolenga wakosoaji wa serikali peke yake kwako unaona sawa?

Hata wao wasipotuingilia unafikiri tupo kwenye mstari sahihi kuelekea kile kinachoitwa maendeleo?
ndugu mbona la ushoga hulisemi?? amablo ndio limewatoa mafichoni
 
Acha izo wewe hatutaki maduka ya Ugawaji na RTC yarudi upya au kusimama foleni kwa ajili ya dawa ya mswaki TARA kutoka Tanga
 
Back
Top Bottom