Kipi kinakupa Sababu ya kuoa?

Kipi kinakupa Sababu ya kuoa?

Kuna kampen kali inaendelea ya kupinga kuoa
Kuna jamaa anaitwa Khan ameanzisha thread ya kupinga kaenda mbali zaid katoa na mifano mingi

Wanawake mjitafakari kuna kitu hakipo Sawa
Hii kampen sio mchezo
Muache kujitafakari nyie uanaume wenu umeenda wapi mnataka wanawake wajitafakari like serious!!!
 
Sikutaka asepe Nataka nilale nacho kabsa nikiwa na hamu muda wowote na toa dudu naingiza bas
Kulala nacho ata usipooa unaweza kulala nacho na sio nacho tu unaweza pia kulala navyo three some
 
Kuoa ni kutoa sadaka maisha.
Ndoa ni taasisi ambayo inakupima uvumilivu, kuchukulia poa na uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi.
Ni taasisi ambayo mwanaume kama mkurugenzi unajiweka wazi kwa ajili ya kupata stroke, pressure msongo. Wanaume wengi walio kwenye ndoa wana msongo wa mawazo au ni vichaa.

Ndoa pia ni taasisi inayompa heshima mwanamke katika jamii na kumfanya mwanaume aonekane amekomaa kiakili.
Ndoa ni sehemu inayompa nafasi mwanaume ya kuwaza kwa kina juu ya Yale anayotaka kuyafanya kabla ya kuyafanya.

Sio wote lazima waoe au kuolewa.
 
Kuoa ni kutoa sadaka maisha.
Ndoa ni taasisi ambayo inakupima uvumilivu, kuchukulia poa na uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi.
Ni taasisi ambayo mwanaume kama mkurugenzi unajiweka wazi kwa ajili ya kupata stroke, pressure msongo. Wanaume wengi walio kwenye ndoa wana msongo wa mawazo au ni vichaa.

Ndoa pia ni taasisi inayompa heshima mwanamke katika jamii na kumfanya mwanaume aonekane amekomaa kiakili.
Ndoa ni sehemu inayompa nafasi mwanaume ya kuwaza kwa kina juu ya Yale anayotaka kuyafanya kabla ya kuyafanya.

Sio wote lazima waoe au kuolewa.

Sasa kwa nini uingie kwenye taasisi ya kukupa stroke, pressure, msongo wa mawazo hayo yote ya nini, na wakati usipooa unakuwa free na unainjoi

Kama heshima ile ya kuwa na pesa tu inatosha.
 
End of the world is near for sure
End of the world ni pale wewe pumzi yako ya mwisho inapochukuliwa vinginevyo unaowaacha hai wataaendelea hivyo hivyo tu hakuna mwisho, tuko kwenye mzunguko we ukifa kuna mwingine anazaliwa
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mtoto mwenye malezi bora ya wazazi na mtoto ambae Baba yuko Katavi na Mama yuko Bukombe.
Heshima ya mtu mzima mwenye utashi ni kuoa au kuolewa ili ajenge mji na familia bora.
Ndoa ni baraka
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mtoto mwenye malezi bora ya wazazi na mtoto ambae Baba yuko Katavi na Mama yuko Bukombe.
Heshima ya mtu mzima mwenye utashi ni kuoa au kuolewa ili ajenge mji na familia bora.
Ndoa ni baraka
Malezi gani unayosemea ya mpaka mtu uoe, Wangapi wameoa na watoto zao tunawaona mtahani wakiwa na tabia mbovu kabisa,

Na watu wazima wangapi wameoa na tunawaona kabisa mtahani huku hawana heshima yeyote mkuu,

Swala la malezi na heshima halitegemei kuoa.
 
Kuoa ni maamuzi ya mtu na kila mtu anaishi atakavyo mimi nina watoto wawili Na natafuta mwingine nimzalishe basi watatu wananitosha ndio mfumo wangu.
 
Kuoa ni maamuzi ya mtu na kila mtu anaishi atakavyo mimi nina watoto wawili Na natafuta mengine nimzalishe basi watatu wananitosha ndio mfumo wangu
Swaaaafi kabisa mkuu na unaonaje maisha yako kwa sasa unaweza kutembea barabarani huku umekosea kufunga vifungo vya shati yako mkuu
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mtoto mwenye malezi bora ya wazazi na mtoto ambae Baba yuko Katavi na Mama yuko Bukombe.
Heshima ya mtu mzima mwenye utashi ni kuoa au kuolewa ili ajenge mji na familia bora.
Ndoa ni baraka

Kwa hyo ww umeolewa?
 
Back
Top Bottom