Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,199
Kumpenda mtu pekee hakuwezi kuwa sababu ya wewe kuoa kwa sababu ata usipomuoa still upendo unabaki kama ulivyo,
Penzi unaweza kupata popote na kwa wakati wowote,
Watoto unaweza kuzaa na yeyote na kwa idadi unayoitaka,
Usaidizi house Made wapo wa kutosha tena ata wale wenye taaluma ya darasani,
Kampani hiyo haina mashaka kabisa ukiwa single ndio unakuwa free na kampani yenye kukupa furaha siku zote,
Kipi kinakupa sababu ya kuoa?
Penzi unaweza kupata popote na kwa wakati wowote,
Watoto unaweza kuzaa na yeyote na kwa idadi unayoitaka,
Usaidizi house Made wapo wa kutosha tena ata wale wenye taaluma ya darasani,
Kampani hiyo haina mashaka kabisa ukiwa single ndio unakuwa free na kampani yenye kukupa furaha siku zote,
Kipi kinakupa sababu ya kuoa?