unajua serikali haina dini,,lakini wa tanzania wana dini zao....ushauli wako ni zaifu sana.. hauna mashiko.
Protox hapo hata kama waislamu mtaita mapepo na majini yote kutoka Makka na Madina kipengele cha dini hakitakuwa kwenye sensa. Na zikipatikana takwimu zisizo sahihi ninyi ndo mtakosa huduma na kuendeleza malalamiko yasiyo na tija. Pole sana