GunzInTheAir
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 301
- 21
narudia tena na ntazidi kurudia ukiona kijana akishabikia ccm kwa sasa ni njaa na si kingne,like it or nt,najua mpo ila sure rika la sasa c la ku2ambia ccm itatutimizia ndoto ze2 za kimaisha,hata we kijana mwenye njaa ambae umekubali ku2saliti masikin weng ila nawe uwe juu unalitambua hli bt we hope one dy yes
mtu akishabikia ccm ana njaa, sawa nakubaliana na wee.
na je mtu akishabikia chadema............kwa mtazamo wangu ni MDINI.
na kwani lazima wananchi wote wawe chadema??? grrrrrrrrr. wengine hatuna vyama, sie kazi yetu kuleta usawa kotekote , ccm ikikosewa inapondwa vile vile lkn usilete propaganda za chama chako cha chadema kuonekana mzalendo kuliko watu wengine.