Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,748
- 14,651
Magufuli kayatoa hayo mahindi shambani kwake? Eti hata ndege kanunua magufuli! Halafu tunalazimishwa kushangilia!! Na mimi niliamua tu kushangilia! Nisameheni!Makabidhiano ya msaada yaliyofanyika leo Karonga Malawi mkuu wa wilaya ya Kyela Tanzania ametamka wazi kuwa ni msaada toka kwa Rais Magufuli, hii ni kwa mujibu wa taarifa ya habari ya saa mbili usiku ITV; Kama kuna wananchi wanaotaka kutoa msaada haijakatazwa.
Kipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?Namuelewa sana kipanya analitumia vyema jukwaa lake hasa kipaji alichopewa na Mungu kuitumikia jamii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwandiko huu ni bora ungeenda shule kwanza ukitoka ndio uje ushauri kipanya kwenda jela
Yaani hapo hata mahakamani kesi itakuwa ngumu.Kipanya ni akili kubwa, mchoro mmoja unatoa habari iliyokamilika.
Uzuri wa katuni kila mtu anaweza kutafsiri anavyoona, kwa hiyo huwezi kudhibitisha unachodhani mchoraji alimaanisha.
Big up Kipanya, unatumia kipaji chako kueleza ukweli
Umenena mkuu. Tangu nilipoyaona ya slow slow simuamini binadamu yeyoteHuyo kipanya akipewa uteuzi tu yote hayo anaacha
Magufuli amedhihirisha upendo wa kiafrika
Hela ya tetemeko irejeshwe
Hiyo zambarao kama ACT wazalendo......... Hahahaa!!!
Taratibu kijana.. Mbona mbio mbio??Kipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?
Anaeneza chuki ni yule aliewanyima msaada wananchi wake wa kagera kipindi cha tetemeko then anatoa msaada kwa jirani.Kipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?
Ila pakichimbika nyie wezi wa rasilimali na wapenda sifa kutakua na mtu wa kuwashangilia?Kipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?
matakataka Kama haya hujitokeza juu ya kila hoja mujarabu.Kipawa ukitumia vibaya inakuwa sio kipawa tena bali laana,tafakari,Kipanya anatumia kipawa chake kueneza chuki,kumbuka hata Rwanda walioeneza chuki ni watu waliotumia vipaji vyao kama Kipanya,Kipanya akitaka siasa ajiunge tu na siasa na si kutumia kivuli cha uchoraji wa vikaragosi,nani asiyejua kuwa Kipanya ni kikaragosi cha Chadema?kumbuka pakichimbika hata hivyo vikaragosi vyake hakuna atakyekuwa na muda wa kuvisoma.Je ina maana unapotoa msaada kwa jirani wewe jamaa zako hawana shida?