Kipanya anamchokoza mtu

Kipanya anamchokoza mtu

Nilivyoelewa:
Mtumbwi (Muhogo) - Tanzania
Manahodha wa mtumbwi - Hata mimi siwajui mana sina mkojo wakupeleka kwa mkemia mkuu sina.

Manahodha wa mtumbwi ndio watakaozamisha huo mtumbwi kutokana na maamuzi yao ya kipumbavu, wanaamua kula muhogo bila kujali kwamba wanahatarisha maisha ya panya hao wengine ambao wao hawali sehemu yoyote ya mtumbwi.
Mkuu we ndo kipanya.
 
fc643d521bc331540f88ad0e591194c0.jpg


kp atapimwa kinyesi soon maana alishshawahi kusema anavyomchora na kichwa chenye mabonde inabidi ajiiangalie kiyooni
 
Tuko kwenye mtumbwi ila wasaliti wanakula uo huo mtumbwi tuliomo.

Any way, rais wakabe wote akina LT hadi wataje wahusika wote walipo.
Aonyeshe kwanza ni nani na lini alitumwa kununua hiyo ndege.
 
Nilivyoelewa:
Mtumbwi (Muhogo) - Tanzania
Manahodha wa mtumbwi - Hata mimi siwajui mana sina mkojo wakupeleka kwa mkemia mkuu sina.

Manahodha wa mtumbwi ndio watakaozamisha huo mtumbwi kutokana na maamuzi yao ya kipumbavu, wanaamua kula muhogo bila kujali kwamba wanahatarisha maisha ya panya hao wengine ambao wao hawali sehemu yoyote ya mtumbwi.
mbona hii kisiasa inagusa pande zote
 
Back
Top Bottom