Kipanya anamchokoza mtu

Kipanya anamchokoza mtu

Bahari inaonekana ina mawimbi madogomadogo ila inaoneka huyo nahodha anawapeleka Nungwi sijui wakifika itakuwaje aisee
 
pale kwa panya buku kuna herufi M (watermark)



Madaraka ya kulevya
 
Nilivyo elewa mimi
Nahodha haoni wapi anakokwendwa ukungu umtanda na unazuia darubini kuona mbali
Abiria njaa kali na watasababisha mtumbwi uzame
Nahodha msaidizi kachoka na kakata tamaa
 
Mzee yuko na darubini kali, yeye anapaona tunakokwenda sisi abiria, lakini tulioko huku nyuma sasa tumeamua kutokubali kwenda bora kila mtu aile nchi kwa namna anavoweza

Lakini mtoa kodi anazidi kutoa kumsaidia mwenye darubini kali
Anayekula nchi ni nani kama siyo mzee wa hasara jpm?
-kafuta ajira za vijana
-Alibomoa kituo cha mafuta mwanza, nao wanadai chao
-Wachina wa samaki nao wanadai chao
-Hilo kampuni liloshikilia ndege nao wanadai chao
-Aliuza nyumba za serikali
-Alinunua kivuko kibovu
-Amekula rambi rambi
-Wateule wake wanafanya mambo ya ajabu ajabu, mara kamuweka rumande mwalimu kisa hajui jina la Dc wake, kampiga mzazi, kampigisha deki mwalimu, Kamtongoza mwalimu, n.k vituko ni vingi
-No increment kwa wafanyakazi anasingizia uhakiki

Haya yote utawasingizia wapinzani. Je, jiulize kama yy kashika darubini. Anayepiga kasia ni nani? Na anayetafuna mtumbwi ni wakina na nani? Je, umeangalia mtumbwi unakoelekea (kama yupo na darubini iweje mtumbwi ulazimishwe kupanda wimbi?

Fikiria nje ya box. Hata swali kwenye mtihani wa NECTA linaweza kosewa. Lissu ndiyo aliwakamatwa wachina au kubomoa kituo cha mafuta. Maamuzi mabova ya mzee wahasara yataliangamiza taifa. Sasa hivi ukionekana umevaa sharti yenye nembo ya chadema unakamatwa ila ukivaa ya mafisadi haukamatwi.
Mtanzania wa kawaida kbsa anawezaje kuila nchi,(rejea kweny mtumbwi,mpaka mtumbwi ukazama) mpaka ikashindwa kusonga mbele?
Wale wanaobomolewa nyumba zao, wangkuwa na uwezo wa kuila nchi, wangegoma kubomolewa.
Anayedidimiza hili taifa ni kikundi kimoja cha matapeli cha ccm na mzee wao wa hasara jpm.
 
Anayekula nchi ni nani kama siyo mzee wa hasara jpm?
-kafuta ajira za vijana
-Alibomoa kituo cha mafuta mwanza, nao wanadai chao
-Wachina wa samaki nao wanadai chao
-Hilo kampuni liloshikilia ndege nao wanadai chao
-Aliuza nyumba za serikali
-Alinunua kivuko kibovu
-Amekula rambi rambi
-Wateule wake wanafanya mambo ya ajabu ajabu, mara kamuweka rumande mwalimu kisa hajui jina la Dc wake, kampiga mzazi, kampigisha deki mwalimu, Kamtongoza mwalimu, n.k vituko ni vingi
-No increment kwa wafanyakazi anasingizia uhakiki

Haya yote utawasingizia wapinzani. Je, jiulize kama yy kashika darubini. Anayepiga kasia ni nani? Na anayetafuna mtumbwi ni wakina na nani? Je, umeangalia mtumbwi unakoelekea (kama yupo na darubini iweje mtumbwi ulazimishwe kupanda wimbi?

Fikiria nje ya box. Hata swali kwenye mtihani wa NECTA linaweza kosewa. Lissu ndiyo aliwakamatwa wachina au kubomoa kituo cha mafuta. Maamuzi mabova ya mzee wahasara yataliangamiza taifa. Sasa hivi ukionekana umevaa sharti yenye nembo ya chadema unakamatwa ila ukivaa ya mafisadi haukamatwi.
Mtanzania wa kawaida kbsa anawezaje kuila nchi,(rejea kweny mtumbwi,mpaka mtumbwi ukazama) mpaka ikashindwa kusonga mbele?
Wale wanaobomolewa nyumba zao, wangkuwa na uwezo wa kuila nchi, wangegoma kubomolewa.
Anayedidimiza hili taifa ni kikundi kimoja cha matapeli cha ccm na mzee wao wa hasara jpm.
This is serious! Amkeni kumekucha
 
Namkubali when it comes to cartoons but on the radio he is a big time borer.
 
Back
Top Bottom