Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
Anatupeleka wapi?
Naomba tu isiwe Zimbabwe
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Naomba tu isiwe Zimbabwe
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Panya ni nani? Kumbuka huo mtumbwi na mama Tanzania..
Yaani hawa waliokosa uzalendo ndio wanakula mhogo, wako tz bado wanaichongea tz ili hali wako kwenye chombo hiko hiko, leee...su na wenzie wanaharibu na kushabikia canada washikirie ndege yetu wakat na wao n watz wako hum hum tz..
Sent using Jamii Forums mobile app
nahodha yuko busy kuangalia mbele aliowapakia hawaelewi km watafika huyu wa kupiga kasia naona kasimama kabisa
Na wanapoelekea hapaonekaniduuh panya wanatafuna mtumbwi ambamo wamepanda
Ngoja wataalam waje, mm cjui kamaanisha nini.
Kwahiyo nani anayekula mtumbwi siyo km mzee wa hasara jpm? Maamuzi ya ovyo ndiyo yatasababisha nchi hii kuangamia.Tuko kwenye mtumbwi ila wasaliti wanakula uo huo mtumbwi tuliomo.
Any way, rais wakabe wote akina LT hadi wataje wahusika wote walipo.
Chadema watapona ndio maana wanashangilia ukizama!Kipanya ana akili sana
Hiyo boti ni nchi ya Tanzania, so kuzama kwa Tanzania maana yake nn? Nani atapona?
Nchi hii tunaila/ tunaiharibu wenyewe!!! Wakati tunatamani kwenda mbele!
Tanzania imebeba panya ambao wanakula mtumbwi wakati nahodha anaangalia mbali ili asipoteze uelekeo...
Naodha nae katafuna, uoni hapo mbele napo pametafunwaTanzania imebeba panya ambao wanakula mtumbwi wakati nahodha anaangalia mbali ili asipoteze uelekeo...
Kabla wimbi kubwa halijapita watakua tayari wameshakula hicho kilichowabebea chote na kujikuta wamezamaLikipita wimbi kubwa hapo hiyo boti ya mapanya buku inazama
panya mkuu anaangalia mbele ila kuna panya wapumbavu wanatafuna boti, hii inamaanisha kuwa nchi yetu ipo katika hali mbaya mkuu anajalibu kuangalia mbele tunakoelekea ili nchi isonge ila kunawajijga wengine wanatafuna nchi ili kuizamishaNilivyoelewa:
Mtumbwi (Muhogo) - Tanzania
Manahodha wa mtumbwi - Hata mimi siwajui mana sina mkojo wakupeleka kwa mkemia mkuu sina.
Manahodha wa mtumbwi ndio watakaozamisha huo mtumbwi kutokana na maamuzi yao ya kipumbavu, wanaamua kula muhogo bila kujali kwamba wanahatarisha maisha ya panya hao wengine ambao wao hawali sehemu yoyote ya mtumbwi.
Nilivyoelewa:
Mtumbwi (Muhogo) - Tanzania
Manahodha wa mtumbwi - Hata mimi siwajui mana sina mkojo wakupeleka kwa mkemia mkuu sina.
Manahodha wa mtumbwi ndio watakaozamisha huo mtumbwi kutokana na maamuzi yao ya kipumbavu, wanaamua kula muhogo bila kujali kwamba wanahatarisha maisha ya panya hao wengine ambao wao hawali sehemu yoyote ya mtumbwi.