Kipanya anamchokoza mtu

Kipanya anamchokoza mtu

Yaani hawa waliokosa uzalendo ndio wanakula mhogo, wako tz bado wanaichongea tz ili hali wako kwenye chombo hiko hiko, leee...su na wenzie wanaharibu na kushabikia canada washikirie ndege yetu wakat na wao n watz wako hum hum tz..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani hawa waliokosa uzalendo ndio wanakula mhogo, wako tz bado wanaichongea tz ili hali wako kwenye chombo hiko hiko, leee...su na wenzie wanaharibu na kushabikia canada washikirie ndege yetu wakat na wao n watz wako hum hum tz..

Sent using Jamii Forums mobile app

JKN alisema Kiongozi asiyefuaa Sheria na Katiba aliyoapa kuilinda hatufai hata kidogo yatupasa kumwambia akishindwa arudi kwao akachunge ng'ombe...................
 
Yaani jamaa ka-focus mbele tu aangalii nyuma wala pembeni sasa nyuma mambo yanaaribika
 
Tuko kwenye mtumbwi ila wasaliti wanakula uo huo mtumbwi tuliomo.

Any way, rais wakabe wote akina LT hadi wataje wahusika wote walipo.
Kwahiyo nani anayekula mtumbwi siyo km mzee wa hasara jpm? Maamuzi ya ovyo ndiyo yatasababisha nchi hii kuangamia.
Lissu ni sawa na mtu anayekuambia, ww ni mchafu unakunya ndani. Ukimfunga Lissu haiwezi kusaidia kuoondoa uchafu sbb hana idhini ya kuingia kweny nyumba yako. Magu alistahili kutoa uchafu, na kusafisha nyumba.
Hili taifa jpm na kikundi chao cha wez ccm wanaongoza kwa kurudisha maisha ya watu nyuma
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kipanya ana akili sana


Hiyo boti ni nchi ya Tanzania, so kuzama kwa Tanzania maana yake nn? Nani atapona?
Chadema watapona ndio maana wanashangilia ukizama!
Povu:Linaruhusiwa.
 
fc643d521bc331540f88ad0e591194c0.jpg
Tanzania imebeba panya ambao wanakula mtumbwi wakati nahodha anaangalia mbali ili asipoteze uelekeo...
 
Dereva yeye anaendelea tu haangalii pembeni
Mwisho wa siku atakuta anazama
 
Nilivyoelewa:
Mtumbwi (Muhogo) - Tanzania
Manahodha wa mtumbwi - Hata mimi siwajui mana sina mkojo wakupeleka kwa mkemia mkuu sina.

Manahodha wa mtumbwi ndio watakaozamisha huo mtumbwi kutokana na maamuzi yao ya kipumbavu, wanaamua kula muhogo bila kujali kwamba wanahatarisha maisha ya panya hao wengine ambao wao hawali sehemu yoyote ya mtumbwi.
panya mkuu anaangalia mbele ila kuna panya wapumbavu wanatafuna boti, hii inamaanisha kuwa nchi yetu ipo katika hali mbaya mkuu anajalibu kuangalia mbele tunakoelekea ili nchi isonge ila kunawajijga wengine wanatafuna nchi ili kuizamisha
Nilivyoelewa:
Mtumbwi (Muhogo) - Tanzania
Manahodha wa mtumbwi - Hata mimi siwajui mana sina mkojo wakupeleka kwa mkemia mkuu sina.

Manahodha wa mtumbwi ndio watakaozamisha huo mtumbwi kutokana na maamuzi yao ya kipumbavu, wanaamua kula muhogo bila kujali kwamba wanahatarisha maisha ya panya hao wengine ambao wao hawali sehemu yoyote ya mtumbwi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom