Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,436
- 25,577
Madeni tuliyosababisha wenyewe yanatumalizaduuh panya wanatafuna mtumbwi ambamo wamepanda
Madeni tuliyosababisha wenyewe yanatumalizaduuh panya wanatafuna mtumbwi ambamo wamepanda
Anaongoza nchi gani vile huyo LT?Tuko kwenye mtumbwi ila wasaliti wanakula uo huo mtumbwi tuliomo.
Any way, rais wakabe wote akina LT hadi wataje wahusika wote walipo.
Hahhaaaa hapo anamaanisha huyo dereva alieshikilia camera kuwa ameshakula huo mhogo hadi kaota kitambi na kashiba ila hao wanaopiga makasia anaowaongoza wananjaa hivyo jamaa yeye anajua yuko nao sambamba kumbe huko nyuma wananjaa wanamegua taratibu huo mhogo
Duh..
Hii falsafa
Huto kaa uielewe kamwe.
Mmh. We umeangalia katuni ipi??
Hihi ninayomuona nahodha kajitahidi kutafuta mpaka kiona mbali ili asipotee??
Hahahahaah hujaelewa, sehemu walioko hao panya wadogo haijaliwa, ila sehemu waliopo waongozaji ndio imeliwa, ukiangalia kwa makini, utaona hao panya wadogo wanajitahidi nao wale ila wanashindwa(may be sababu hawana meno), ila bahari imetulia(sisi watanzania) mtumbwi utazamishwa na hao wanaongoza.panya mkuu anaangalia mbele ila kuna panya wapumbavu wanatafuna boti, hii inamaanisha kuwa nchi yetu ipo katika hali mbaya mkuu anajalibu kuangalia mbele tunakoelekea ili nchi isonge ila kunawajijga wengine wanatafuna nchi ili kuizamisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha....ila yeye katafuna kwa juu hajaharibu , wanaoharibu ni wale wanaotafuna pembeniHalafu hata kiongozi wa mtumbwi naye amejitafunia kidogo sehemu ya mtumbwi huku akiendelea kuongoza!
kwa juu mbele ya nahodha pametefunwaNahodha anaongoza kwa darubini kali na hatafuni chochote
Lakini abiria sasa(raia/waongozwaji) wanaitafuna botihogo (nchi) bila kujali matokeo hasi ya ulaji ama ubadhirifu wao.
na hayo maji yana maana gani..kama ni ishu ya kula mhogo?Hahhaaaa hapo anamaanisha huyo dereva alieshikilia camera kuwa ameshakula huo mhogo hadi kaota kitambi na kashiba ila hao wanaopiga makasia anaowaongoza wananjaa hivyo jamaa yeye anajua yuko nao sambamba kumbe huko nyuma wananjaa wanamegua taratibu huo mhogo
almost thereMwendesha mtumbwi ni mmoja tena yuko nyuma na anaonekana amejimegea kipande cha muhogo huku hao wa katikati wakionekana kutojuwa wanakoelekea.Na jamaa hapo mbele akionekana ni mlaji tena alieshiba vizuri akiwa hana muda na hawa waliopo kati ama abiria
Kifupi wanaoongoza nchi ndyo wanaojitafunia muhogo tanzania huku wakiwaacha abiria watanzania wakiwa hawana muelekeo wowote na hawajui wapi nchi yao inakoelekea huku wakikabiliwa na njaa na matatizo lukuki
huoni kama nahodha mwenyewe pia ni panyaTanzania imebeba panya ambao wanakula mtumbwi wakati nahodha anaangalia mbali ili asipoteze uelekeo...
Hapo mkuu yeye amewakilisha hiyo boti kama ndo mhogo hato maji kamaanisha kuwa baada ya kyisha kwa kuula wanazama zotena hayo maji yana maana gani..kama ni ishu ya kula mhogo?
Nawe ni wakujiita mzalendo?tuna safari ya nyikaTuko kwenye mtumbwi ila wasaliti wanakula uo huo mtumbwi tuliomo.
Any way, rais wakabe wote akina LT hadi wataje wahusika wote walipo.
Mkuu, anaendelea kujitafunia yani hapo kuongoza ni kama chai, mkate ni huo mtumbwi, ataupararua hadi mwishoHahaha....ila yeye katafuna kwa juu hajaharibu , wanaoharibu ni wale wanaotafuna pembeni