KIPAJI CHA SANAA YA MAIGIZO

KIPAJI CHA SANAA YA MAIGIZO

Dejanta

Member
Joined
Apr 26, 2014
Posts
37
Reaction score
39
Habari ,,mie ni kijana mwenye kipaji,,Natafuta mtu wa kuniongoza na kukiona kipaji changu ili aweze kunipa sapoti,,kwa mwenye wito Aje DM
 
Sanaa ya maigizo kwa ujumla,,yaan kuigiza film au season na nk,,, inshort bongo movie
 
ni kweli ingawa wapo wazee ambao vipaji vyao vimeonekana uzeen mwangu naona bado sijachelewa sana
ni kweli, ila jaribu kutembelea vikundi vya maigizo hapo Dar. Ukipata nafasi ya kushiriki walau katika igizo/filamu itakupa fursa ya kuonekana kirahisi kuliko sasa ambapo ni ngumu mtu kuamini unachosema.
 
ni kweli, ila jaribu kutembelea vikundi vya maigizo hapo Dar. Ukipata nafasi ya kushiriki walau katika igizo/filamu itakupa fursa ya kuonekana kirahisi kuliko sasa ambapo ni ngumu mtu kuamini unachosema.
ook
 
Habari ,,mie ni kijana mwenye kipaji,,Natafuta mtu wa kuniongoza na kukiona kipaji changu ili aweze kunipa sapoti,,kwa mwenye wito Aje DM
kwa kuwa una miaka 29 naamini una ajira engine itakayo kava gharama za maisha maana sanaa ya bongo kwa kiasi gulanininafanywa kwa mapenzi kuliko kujali pesa, ila usikate tamaa maana ukiingia huko ukapata jina, jina suku hizi ni asset, ynaweza ukawa na jina likakusaidia kubusti nakupromoti biashara zako naiukufanya ufahamiane na watu ukawanakoneksheni ukaishi kwa kushiba hapa mjini

usiogipe kuwa umru umeenda maana kwa umri huo wako unaweza cheza nafasi za kijana hadi za utu uzima, na nafasi hizo ndio nyingi kwenye kuigiza

nakushauri watafute wale wenye maigizo itv, ama azam na kadhalika, ongea nao, watakuweja pending watakapohitaji mtu wa kuigiza hata scene moja uonekane unapita njia ama umesimama wakupe hiyo nafasi wakikuzoea nyuma ya kamera eatashawishika kukuweka frint screen anad maybe one day utaonekana kwenye kazi zinazofahamika
 
Back
Top Bottom