Wakubwa
Mtoto wangu amechafua Secreen ya laptop yangu kwa kutumia Marck pen ya rangi ya kijani
Nimefuta kwa kitambaa lakini naona hayatoki
nisafishe na nini? Nsaidie
Kojolea kioo, uchafu utatoka wenyewe bila hata kusugua.
Hawa ndio wapiga kura wetu,tunaowategemea kuleta mabadiliko baadaye au kuwa waheshimiwaKojolea kioo, uchafu utatoka wenyewe bila hata kusugua.
Kojolea kioo, uchafu utatoka wenyewe bila hata kusugua.