WatesiWETU
Senior Member
- Jan 2, 2022
- 106
- 245
Mazee habarini
kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo.
Laptop yangu nikiwasha inawak vizuri naingiza password fresh.. kisha nikitaka kuanza kufanya kazi tu ina jizima yenyewe alafu ndani ya sekunde 30 ina restart tena.. itafanya hivyo muda wote mpaka nachoka nzima na kuchomoa charge.
Alafu kuna saa nikiwasha.. ita ganda(Kustuck) tu mwanzon tu hata haika pata moto.
Je, hili tatizo ni nini? Nilipeleka kwa mafundi Machinga complex ila nimerudisha home leo no changes.. ipo vile vile.
Msaada wanatechnology nipeni wazi.
Laptop yangu ni yale Matoshiba ya zamani
kama kichwa cha habari kinavyo sema hapo.
Laptop yangu nikiwasha inawak vizuri naingiza password fresh.. kisha nikitaka kuanza kufanya kazi tu ina jizima yenyewe alafu ndani ya sekunde 30 ina restart tena.. itafanya hivyo muda wote mpaka nachoka nzima na kuchomoa charge.
Alafu kuna saa nikiwasha.. ita ganda(Kustuck) tu mwanzon tu hata haika pata moto.
Je, hili tatizo ni nini? Nilipeleka kwa mafundi Machinga complex ila nimerudisha home leo no changes.. ipo vile vile.
Msaada wanatechnology nipeni wazi.
Laptop yangu ni yale Matoshiba ya zamani