Magonjwa mengine ukienda hospitalini huwa unapata dawa?Wagonjwa wa Corona mkoani Shinyanga wapo au hawapo?
Mitungi ya gesi inawatosha au haiwatoshi?
Taarifa ioneshe kwa kila kituo (Shinyanga, Kolandoto, Tinder, Kahama na Nyamilangano) kina wagonjwa wangapi wa Corona na idadi ya mitungi ya gesi iliyopo kwa kila kituo.
Hiyo itathibitisha kama kuna Wagonjwa wengi na kama kuna upungufu wa mitungi katika vituo hivyo.