Kinyaa cha tongue kiss

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
361,279
Reaction score
832,323
Ni kitu cha kushangaza kidogo lakini kipo na kitaendelea kuwepo ,wakati wa penzi changa mapenzi huwa motomoto kwelikweli mtanyonyana kila mahali na hamchoki hata
lakini jinsi mnavyoendelea kuzoeana na pengine kuishi pamoja ile ladha tamu ya mate ya nwenzi wako hupotea kabisa na hata wengine kuona ni kinyaa kunyonyana tena
Huwa najiuliza tu ninini kinatokea ?
 
Kwani wakati wa mapenzi motomoto yale mate ya mpenzi wako uayonyonya yakiwekwa kwenye kikombe unaweza kunywa?
 
Kwani wakati wa mapenzi motomoto yale mate ya mpenzi wako uayonyonya yakiwekwa kwenye kikombe unaweza kunywa?

Wengine tunakula saiz jamanii, We unaweza kunywa mate ya mtu...?
 
kumbeee! mkizoena hamnong'onezani midomoni jamani,mmmh!
 
Bado ni fresh tu ila kama hapigi mswaki mkimaliza kula hapo lazma usikie kinyaa kwani unaweza ukazungusha ulimi ukawa unaibuka na matamahuluku ya misosi.Mara punje za wali ganda la marage vitawi vya mchicha etc

Mmh hapo lazima uone kinyaaa
 
Kwani wakati wa mapenzi motomoto yale mate ya mpenzi wako uayonyonya yakiwekwa kwenye kikombe unaweza kunywa?

Ahahahaaa yawekwe kwe kikombe kwan ni chai ile jaman mmh
 
Bado ni fresh tu ila kama hapigi mswaki mkimaliza kula hapo lazma usikie kinyaa kwani unaweza ukazungusha ulimi ukawa unaibuka na matamahuluku ya misosi.Mara punje za wali ganda la marage vitawi vya mchicha etc

Khaaaa........ Yaaani mpaka mwili wote umenisisimka kwa kinyaaa..!
 



............................. kuzoeana ............................ though mimi nadhani nitaendelea hadi kifo kitakaponitenganisha na mwenza wangu
 


Kuna kitu sikijui ama nini!!!!?????

Hiyo ladha ya mate ni kuwa yeye hamezi yake mpaka yajae kinywani ama nini!!!?????

Kongosho na King'asti, Cyan6, badiebey hebu njooni mumfundishe huyu maasai mshamba!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Duh yaani ume hit point, nikweli kabisa unayosema...nakubaliana na wewe asilimia 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…