Kingunge, kweli ubaya hauna kwao...

Kingunge, kweli ubaya hauna kwao...

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,654
Nimesoma jinsi Kingunge alivyozungumzia umuhimu wa
'tume huru ya uchaguzi'...

nimejikuta nakumbuka huu msemo maarufu 'ubaya hauna kwao'

Kwamba jambo likiwa baya ni baya tu....kokote kule likienda litachukiwa
na ukinyamaza wakati mtu mwingine anafanyiwa ubaya basi
usishangae ubaya huo ukaja kufanyiwa wewe au ndugu yako na wewe
ukaumia na kulia kama hao wengine..


Wizi wa kura ni jambo baya saana....ni kudhulumu haki za watu

Kingunge sasa anaongea kwa uchungu sana.....

natamani kumuuliza....why now?

Lini tuliwahi kuwa na tume huru ya uchaguzi? ...

Wazee walisema 'ubaya hauna kwao'......laiti kama

Kingunge,Lowassa Sumaye na wengine wote wange simama kuhesabiwa
kwenye mstari wa haki maisha yao yote...na kupigania 'tume huru' kabla hata
hawajatoka CCM leo tungekuwa mbaali saana....

Na wale wana CCM ambao leo watakejeli kauli ya Kingunge....wajifunze hili
'ubaya hauna kwao'
 
Kila kitu kina majira yake..kuna wakati kujenga , kuna wakati wakubomoa kuna wakati wakujenga..kuna wakati wa kukubali kuna wakati wakukataa..ukijua ni nini maana ya majira ya mwanadamu..haitakupa shida..ndio maana hata kwa Mungu tunaamini kunamsamaha..nani angebaki
 
Nimesoma jinsi Kingunge alivyozungumzia umuhimu wa
'tume huru ya uchaguzi'...

nimejikuta nakumbuka huu msemo maarufu 'ubaya hauna kwao'

Kwamba jambo likiwa baya ni baya tu....kokote kule likienda litachukiwa
na ukinyamaza wakati mtu mwingine anafanyiwa ubaya basi
usishangae ubaya huo ukaja kufanyiwa wewe au ndugu yako na wewe
ukaumia na kulia kama hao wengine..


Wizi wa kura ni jambo baya saana....ni kudhulumu haki za watu

Kingunge sasa anaongea kwa uchungu sana.....

natamani kumuuliza....why now?

Lini tuliwahi kuwa na tume huru ya uchaguzi? ...

Wazee walisema 'ubaya hauna kwao'......laiti kama

Kingunge,Lowassa Sumaye na wengine wote wange simama kuhesabiwa
kwenye mstari wa haki maisha yao yote...na kupigania 'tume huru' kabla hata
hawajatoka CCM leo tungekuwa mbaali saana....

Na wale wana CCM ambao leo watakejeli kauli ya Kingunge....wajifunze hili
'ubaya hauna kwao'


Kuna jambo moja mnashindwa kulielewa, nalo ni kwamba hakuna kitu kama hiyo mnayoiita Tume huru Dunia hii, ila kilichopo ni Mshindi na aliyekataliwa na Watanzania, kama Watanzania wakiamua kuiingiza chadema madarakani watafanya hivyo kama bado hawajaamua kama ilivyo sasa na itabakia kuwa hivyo na huo ndio Ukweli pekee Dunia hii, kama vile kifo!
 
Shida watu wanafanya vitu wakitegemea kuwa hata siku moja hawawezi kuwa on the receiving end ya hivyo vitu wanavofanya, but as they say; life is unpredictable...

karma2.jpg
 
Nimesoma jinsi Kingunge alivyozungumzia umuhimu wa
'tume huru ya uchaguzi'...

nimejikuta nakumbuka huu msemo maarufu 'ubaya hauna kwao'

Kwamba jambo likiwa baya ni baya tu....kokote kule likienda litachukiwa
na ukinyamaza wakati mtu mwingine anafanyiwa ubaya basi
usishangae ubaya huo ukaja kufanyiwa wewe au ndugu yako na wewe
ukaumia na kulia kama hao wengine..


Wizi wa kura ni jambo baya saana....ni kudhulumu haki za watu

Kingunge sasa anaongea kwa uchungu sana.....

natamani kumuuliza....why now?

Lini tuliwahi kuwa na tume huru ya uchaguzi? ...

Wazee walisema 'ubaya hauna kwao'......laiti kama

Kingunge,Lowassa Sumaye na wengine wote wange simama kuhesabiwa
Na wale wana CCM ambao leo watakejeli kauli ya Kingunge....wajifunze hili
'ubaya hauna kwao'
Hivi Ingetokea UKAWA Wakashinda Uchaguzi Wa Mwaka Jana Wangeleta Katiba Ya Warioba ?
 
Kabisa mtoa mada, maisha yanaendelea. Anayenyima haki leo kwasho atantimwa yeye au uzao wake.
Kina Kingunge na wengine walishangilia kipindi hicho, sasa kageuka upande huu analia. Niwengi mno naongeza wachache

Mgeja, Msindai, Sumaye, Nauye, nk.
 
Kwny Mchakato wa Katiba Mpya Kingunge wakati huo akiamini Lowassa angekuwa Ndie Rais wa Tano alimshambulia Jakaya kuwa Taifa halihitaji Katiba Mpya Bali marekebisho madogo madogo tu ya Katiba.

Huyu Mzee hata Kama analoongea ni Muhimu yeye binafsi anaonekana ni Mnafiki sana sana kwa kuwa alikuwemo kwny Bunge la Katiba na hakuzungumzia wala kupigania hiyo Katiba Mpya
 
Unadhani hata katiba ikibadilishwa watu wataifuata na italeta maendeleo? Bora tungeomba kwanza tutawaliwe tena na wakoloni kwanza hasa mjerumani.

Kwa ufupi tu sisi ni watu wa ajabu sana siyo kingunge tu.

Ndio maana sifa na thamani ya PhD imeshuka sana mwaka huu!
 
Back
Top Bottom