Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,084
Wewe bila shaka ni house girl wa lumumba!
Wewe shetani mbona unamshambulia kila mmoja? Basi wewe utashambuliwa na Mungu!
Kaka umelaanika ninibora tungempa hata fisadi kuliko hali ya uchumi ilivyo kwasasa. watu wanajuta lakini wanaogopa kusema. haya mambo ya kuugulia moyoni 2020 yanaweza kufanya maajabu kama ilivyotokea kwa Trump.
And if possible ignore, do not read them!Hivi mlitegemea Lumumba waseme nini?
Tunawaona kila siku hapa na kashfa na matusi yao, bado hatujawajua tu?
Ni rahisi kwa aliye Upinzani kumpongeza anayetawala lakini si rahisi kwa Mtawala kumpongeza Mpinzani na ukiona Umeanza kupongezwa basi wewe unakaribia Sebule ya Mtawala.
Barbarosa
Lizaboni
Wakudadavua
Ruttahobolwa
Ufipa-Kinondoni
Faiza Foxy
Motochini
Jingalo and CO
Hawa Post zao sio za kuzishangaa.
Ni za Sifa Kwa Uongozi wa chama chao cha ccmHivi mlitegemea Lumumba waseme nini?
Tunawaona kila siku hapa na kashfa na matusi yao, bado hatujawajua tu?
Ni rahisi kwa aliye Upinzani kumpongeza anayetawala lakini si rahisi kwa Mtawala kumpongeza Mpinzani na ukiona Umeanza kupongezwa basi wewe unakaribia Sebule ya Mtawala.
Barbarosa
Lizaboni
Wakudadavua
Ruttahobolwa
Ufipa-Kinondoni
Faiza Foxy
Motochini
Jingalo and CO
Hawa Post zao sio za kuzishangaa.
mzee wa watu na biashara ya Ubungo stand ametaharukiViwanda vileeee[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyo mzee yupo wapi siku hizi? Nasikia alijitoa CCM hivi alienda wapi na yupo wapi kwa sasa?mzee wa watu na biashara ya Ubungo stand ametaharuki
Kwa Lowassa hapana! Bora hata Anna Mgwira! Lowassa awe Rais!! Loh hapana kabisa!bora tungempa hata fisadi kuliko hali ya uchumi ilivyo kwasasa. watu wanajuta lakini wanaogopa kusema. haya mambo ya kuugulia moyoni 2020 yanaweza kufanya maajabu kama ilivyotokea kwa Trump.
Bwege na zuzu mkubwa[emoji115] [emoji115]hata yasipotokea lakini ujue mnatawala watu wasiowapenda. hiyo tu inatosha.