KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 699
Ni nini kimsababishie akatwe? Kukubalika kwa wananchi ndio ishu kubwa, tumeona tayari anakubalika. Kama angekuwa na matatizo na chama mbona bado ni mwanachama?
Qualifications zilitajwa; jumla ziko 13. Kukubalika na wananchi (ikiwa ni kweli kuwa hii inaweza kupimwa kwa kuangalia wingi wa wadhamini) ni 1/13 katika sifa zote. Sasa huyu akiwa na 5/13 wenye zaidi ya hapo watashinda na atakuwa mtu amekatwa kihalali. Wakati mwingine kutumia nguvu nyingi kunaonesha motive mbaya!