King'amuzi gani naweza kuwapata WWE?

King'amuzi gani naweza kuwapata WWE?

kibaravumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
6,633
Reaction score
7,021
Nataka kuachana na cable hawa jamaa hapa Kahama(SSCN) wanaboa sana maana wanakata sana picha hata sioni maana tena ya kulipia elfu 10 kila mwezi.Napenda kufuatilia michezo hiyo ya mieleka.Tafadhali ni king,amuzi gani kinaonesha?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Hakuna king'amuzi kinachoonesha bali kuna channels zinazoonesha mfano etv
 
PAta AzamTv, itakuwa nido suluhisho kwako kaka. MBC Action, wao wana Mieleka Daily kasoro J'Mosi na J2. Pia utapata ETV ya sauzi nao wanaonyesha Mieleka pia. Kuna channel nne zinazorusha Mieleka. Utafurahia. Ukiwa huko Mwanza unaweza ukaipata kwa Bei ya 160,000 full set ya king'amuzi. Utaipenda.
 
Nataka kuachana na cable hawa jamaa hapa Kahama(SSCN) wanaboa sana maana wanakata sana picha hata sioni maana tena ya kulipia elfu 10 kila mwezi.Napenda kufuatilia michezo hiyo ya mieleka.Tafadhali ni king,amuzi gani kinaonesha?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Kama una dish kubwa la ft 8, unaweza kuangalia kwa king'amuzi chochote cha Free to Air.
Tafuta satellite ya Badr 4, MBC Action wanarusha programme za WWE.
 
shida inayonipata nasikia Azam tv haina star tv na ITV Je ni kweli?
 
Dah nilikuwa miongoni mwa watu wa mwanzo kujiunga na azam TV lkn nahisi bado hawajajipanga mara signal za local channel down yani ni km star times iwapo hii hali hawatairekebisha. Hivyo mdau ukiingia azam hizo changamoto zipo na wala hazitolewi maelezo ya kitaalam
 
Nawashukuru sana wote mliochangia nitafanyia kazi ushauri wenu.

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Dstv huwa wanaonyesha TNA..Ving'amuz vya Tanzania cjaona channels inayoonesha show zote..Labda Abudhab Sport na Tensports ndo kiboko utaona mpaka Wrestlemania hawa akina MBC na eafrica wachov wanaonesha highlights!
Kweli mdau Abdhab ni kiboko hadi live raw ya j3 saa 10 usiku full show, alhamisi highlights za show zote raw, smack down, superstars hawa jamaa ni noma
 
Dstv huwa wanaonyesha TNA..Ving'amuz vya Tanzania cjaona channels inayoonesha show zote..Labda Abudhab Sport na Tensports ndo kiboko utaona mpaka Wrestlemania hawa akina MBC na eafrica wachov wanaonesha highlights!

Nyie watu Kuna channel nyingi sana tena hd malipo ni kidogo sana Ni PM nikuambie
 
Back
Top Bottom