King'amuzi cha Digitek

ilo la uagent au sio naona halina issue apa.
King'amuzi hiki kinasifa zifuatazo
1)inakupa picha angavu na ubora wa hali ya Juu HD
2) Ina port ya HDMI
3) Iko kwenye mfumo wa kisasa zaidi wa MPEG4
4) Kinatumia flash
5) Ina uwezo wa kurekodi, kusimamisha na kuendelea na matangazo ya moja kwa moja PVR
6) Nirahisi kuunganisha(Plug and Play)
7) Haihitaji Dish ( inatimia antena ya kawaida kabisa)
Izo ndo sifa kuu 7 za nguvu inazozitofautisha na ving'amuzi vingine vy kishamba.

Ndiyo maana Watz huwa tunashindwa biashara,mkuu nilidhani wewe utakuwa agent tuongee biashara.
 
Muonekano wake ni mzuri sana nani wa HD na kinatumia antena ya ndani tu yoyote.Bei ni Tsh 160,000 pamoja na atena na kifurushi cha mwezi mmoja.Na bill yake kwa mwezi ni elfu 6 tu, kimajumuisha local 10 na International news kidogo.Kwa sasa kama unaitaji waweza kunijulisha au piga no 0784635662.Get connectes with Digteck

acha kudanganya watu. king'amuzi gani kinaonyesha picha ya HD wakati matangazo hayarushi kwa mfumo wa HD?. kwa tanzania hakuna TV station inayo rusha matangazo kwa HD.
 
huu mfumo wa dijitali bado watanzania walio wengi hawajaulewa vya kutosha, tumeulazisha mno mwisho wa siku ni kama kuwatajirisha wafanyabiashara hasa wa hivi ving'amuzi kwa kutumia mwanya wa kutokuwa na elimu ya dijitali, ni bora wakaufanyia tathmini kwanza ili wajionee maendeleo yake kwa kipindi cha miezi hii michache iliyopita
 
Mkuu mbona special channels
za michezo, movies, musics, animal, Science, Indian, Fashion nk havipo?

Hapo naona baadhi tu ya Local channels(Hata DTV inayoonyesha klabu bingwa ulaya haipo), News channel na Religious channel.

Watu hatutaki channel nyingi pekee bali tunataka Channel muhimu na varieties!!

Vipi kuhusu Other African attractive channels kama Citizen, KBC, UBC, TVZ, SABC, Channel-e, TVM?

Zipo kaka kuna move channel, News channel, Sports and social entertainment.apo nilitaja local tv kwa kuwa ndo ziko sensitive kwa mazingira yetu
 
Basi wanaokiuza wasitegemee kupata senti toka mfukoni mwangu. King'amuzi kisicho na chenga mi cha nini? Raha ya futubolu chenga, sasa kama hamna chenga ina maana magemu ya Asenali na Baka sitayaona kimadoido.

Watanunua washabiki wa Man U na Chelsea tu waliozoea mipira ya kubutua

Buhahahahaaaa,pasi mbili goli!
 
hiki kidubwasha sio HD wala hakikaribii kuwa HD, ila kwa mtu atakaye migrate kutoka startimes kuhamia digitek ata notice tofauti ya ubora wa picha na sauti.
kwa kukiita HD wanaendeleza udanganyifu tu, hata sasa ukinunua wanakwambia utapata channel 20 ila chaajabu mi naona 15 ukiwauliza wanasema "tuliimaanisha zitakuwa 20 ivi karibuni ila kwa sasa kweli ni 15''
Jamani kwani channel hizo 15 ni zipi zitaje tafadhali isije kuwa kuch kuch tu.
 
Basi wanaokiuza wasitegemee kupata senti toka mfukoni mwangu. King'amuzi kisicho na chenga mi cha nini? Raha ya futubolu chenga, sasa kama hamna chenga ina maana magemu ya Asenali na Baka sitayaona kimadoido.

Watanunua washabiki wa Man U na Chelsea tu waliozoea mipira ya kubutua

Ahh!!!!h kiongozi, mpira magoli

Sifa za chenga waachie wapemba
 
Ndiyo maana Watz huwa tunashindwa biashara,mkuu nilidhani wewe utakuwa agent tuongee biashara.

Biashara ndii hii kiongozi wangu naitangaza apa.Najua utakuwa unaiyaji naimba usisite kunijuza.Je ulikuwa unaitaji king'amuzi?
 
HD ni High Definition
kwa maana kwamba muonekano wa picha zake ni wa kiwango cha juu sana na
ziko clear. Hakuna chenga hata kidogo.

kwenye digitali chenga sio issue mkuu,hata kama clear je kwa channel za music,sound ni quality,mfano mchicha,unausikia,au ni base tu,bu bu bu?
 
Na hili lenye vyombo vya
habari wanaosema baada ya mwezi mmoja hawarusha matangazo tena
mnalichukuliaje ndugu zangu.Ni ukweli mtupu kuwa watu wengi hawajununua
ving'amuzi hivyo habari kutowafikia.

Mkuuuu,wanaweweseka tu hao,wakizima maana yake na wao hawatapata k2 kabisa,sasa bora lipi,wenyewe watasarenda tu,njaaa usiiombee kabisa
 
Nawaonea huruma sana watanzania hasa kwenye suala la ving'amuzi. Poleni sana! Yani hakuna anayejali wala kumsaidia mtu, kila mmoja anapiga dili tu...kwa kweli watu wanaumia sana!
 
Muonekano wake ni mzuri sana nani wa HD na kinatumia antena ya ndani tu yoyote.Bei ni Tsh 160,000 pamoja na atena na kifurushi cha mwezi mmoja.Na bill yake kwa mwezi ni elfu 6 tu, kimajumuisha local 10 na International news kidogo.Kwa sasa kama unaitaji waweza kunijulisha au piga no 0784635662.Get connectes with Digteck

Mkuu mbona mnataka kuchanganya watu? Kwenye matangazo mnasema mteja akisha nunua na kufungiwa kingamuzi hakuna mambo ya bill za kila mwezi! Hapa tena unasema bill ni elfu 6 tu kila mwezi kwa ajili ya kuangalia local channels - kwa nini wananchi waghalimie local channels? Jaribu kuwa wawazi kidogo, je mkiongeza International channels zaidi si ndio bill zenu zitapaa zaidi!!

Kwani na nyinyi TCRA imewapa liseni ya content multiplexing? kama jibu ni +ve mbona hamtangazi jina la kampuni yenu?
 
acha kudanganya watu. king'amuzi gani kinaonyesha picha ya HD wakati matangazo hayarushi kwa mfumo wa HD?. kwa tanzania hakuna TV station inayo rusha matangazo kwa HD.

Mkuu nakwambia utasikia mengi, wanafikili Watanzania ni mbumbumbu!!
 
Mkuu hivi hiki kifaa cha Digitek, na huku kwetu Kisaki kitakuja kutumika lini ? Ili na mimi nikinunue.
 
Hapa ndo ujue kwamba serikali yetu haina maamuzi suala la umeme halijapatiwa ufumbuzi lkn ndo tumeshapelekwa kwenye digital..
 
Supersport, Studio, ESPN wapi hz channel. Digitek, Mh!
Ndugu, usidanganyike na matangazo.
Hizo channel nyingi ulizotaja hapo ni biashara ya watu, huwezi kuzipata kwenye visimbuzi vya bure kama digitek na Startimes, zinalipiwa. Unaweza kuzipata ukiwa na kisimbuzi cha Dstv au AbuDhabi tu, wengine waongo! Take it from me, nipo kwenye sekta hiyo.
 
Mkuu mbona mnataka kuchanganya watu? Kwenye matangazo mnasema mteja akisha nunua na kufungiwa kingamuzi hakuna mambo ya bill za kila mwezi! Hapa tena unasema bill ni elfu 6 tu kila mwezi kwa ajili ya kuangalia local channels - kwa nini wananchi waghalimie local channels? Jaribu kuwa wawazi kidogo, je mkiongeza International channels zaidi si ndio bill zenu zitapaa zaidi!!

Kwani na nyinyi TCRA imewapa liseni ya content multiplexing? kama jibu ni +ve mbona hamtangazi jina la kampuni yenu?


Ndugu, serikali imekurupuka sana na hii teknolojia.
Anachokisema mdau ni cha kweli, NO FREE LUNCH. Kwa sasa hao wanaouza visimbuzi vya Digitek wanakusanya wateja kwanza kwa kutoa huduma bure ukishanunua kifaa chao, lakini baadaye watageuka na kusema mlipie huduma hizo kama ilivyo kwa Easy Tv, Agape ama Startimes. Ni suala la muda tu. Anayesema mtalipia 6000/- mwanzoni mwa mwaka ujao yuko sahihi kabisa, huwezi kupata matangazo BURE. Vya bure vilishaondoka na mwalimu
 
acha kudanganya watu. king'amuzi gani kinaonyesha picha ya HD wakati matangazo hayarushi kwa mfumo wa HD?. kwa tanzania hakuna TV station inayo rusha matangazo kwa HD.
ww itakuwa unatoka shamba tena mbwinde hujui hata mpeg4 ni quality gani
 
Back
Top Bottom