King'amuzi cha Digitek

King'amuzi cha Digitek

Mkuu king'amuzi hiki hakina malipo ya kila mwezi. Ukinunua kwa hiyo gharama ya 160000 imetoka hiyo.

Kaka ukilipa 160,000/- Utapata ofa ya kuangalia channel bure adi Dec 31st Mwaka huu.Baada ya apo utakuwa unalipia kama kawaida kabisa kwa 6000/- Tzs.
 
labda kama mimi ndio sielewi nini maana ya HD
kama content provider harushi matangazo yake kwa mfumo wa HD,service provider anaweza kuyabadili kuwa HD???
tuseme kwa mfano matangazo ya TBC au CLOUDS au ITV hayapo katika mfumo wa HD au HQ, je digitek au DSTV wanaweza kyabadili kuwa HD???
nadhani tuwe makini kutofautisha kazi ya msambaza matangazo na mrusha matangazo na aina ya matangazo yanayorushwa
ili msije kundanganywa kila kitu HD HD, kwa mlio na DSTv au canal digital mtaona kuna channel za HD na zingine za kawaida.
labda digitek watuambie mitambo yao ina uwezo huo wa kubadili mfumo huo.
 
hata mie nimeona hl tangazo kua hakuna malipo ya mwezi sasa hiyo elfu 6 imetoka wapi?

Kwa sasa ni bure kabisa ila ofa hii itaishia tarehe 31st Dec 2013.Kuanzia next yr utakuwa unalipia kwa iyo kwasasa ni bure kabisa.Nazani apo umenielewa ndugu
 
labda kama mimi ndio sielewi nini maana ya HD
kama content provider harushi matangazo yake kwa mfumo wa HD,service provider anaweza kuyabadili kuwa HD???
tuseme kwa mfano matangazo ya TBC au CLOUDS au ITV hayapo katika mfumo wa HD au HQ, je digitek au DSTV wanaweza kyabadili kuwa HD???
nadhani tuwe makini kutofautisha kazi ya msambaza matangazo na mrusha matangazo na aina ya matangazo yanayorushwa
ili msije kundanganywa kila kitu HD HD, kwa mlio na DSTv au canal digital mtaona kuna channel za HD na zingine za kawaida.
labda digitek watuambie mitambo yao ina uwezo huo wa kubadili mfumo huo.

King'amuzi kinaweza tv yako kupata picha zinazorushwa kwa kupitia technologia ya digital badala ya analogia.Digital inafanya tv yako idake mawumbi yaliyochujwq vzri na kuondolewa chenga chenga ivyo kufanya tv yako iwe na muonekano mzr zaidi hata kama ni tv ya chogo.Sasa apa king'amuzi kinausikaje na muonekano wa HD?
Ving'amuzi vinazidiana uwezo wa kupokea mawimbi yaliyo na ubora zaidi hapa nia sawa na kusema projector pia uwa na uwezo tofauti wa kuonesha ubora wa picha nazani unakubari basi hata ivi ving'amuzi pia vinauwezo tofauti wa kudaka na kusambaza picha kwa ubora.Ivi vya digitek ni ving'amuzi bora kabisa kuwahi kufanya kazi TZ.Vinapokea mawumbi na kuvirusha katika ubora wa HD ivyo tv kuwa na muonekano mzuri wa picha.Haya ni mambo ya kitaalam kidogo ulitaka kujua zaidi tembelea ofisi zetu zilizo karibu yako
 
HD ni High Definition kwa maana kwamba muonekano wa picha zake ni wa kiwango cha juu sana na ziko clear. Hakuna chenga hata kidogo.

Basi wanaokiuza wasitegemee kupata senti toka mfukoni mwangu. King'amuzi kisicho na chenga mi cha nini? Raha ya futubolu chenga, sasa kama hamna chenga ina maana magemu ya Asenali na Baka sitayaona kimadoido.

Watanunua washabiki wa Man U na Chelsea tu waliozoea mipira ya kubutua
 
King'amuzi kinaweza tv yako kupata picha zinazorushwa kwa kupitia technologia ya digital badala ya analogia.Digital inafanya tv yako idake mawumbi yaliyochujwq vzri na kuondolewa chenga chenga ivyo kufanya tv yako iwe na muonekano mzr zaidi hata kama ni tv ya chogo.Sasa apa king'amuzi kinausikaje na muonekano wa HD?
Ving'amuzi vinazidiana uwezo wa kupokea mawimbi yaliyo na ubora zaidi hapa nia sawa na kusema projector pia uwa na uwezo tofauti wa kuonesha ubora wa picha nazani unakubari basi hata ivi ving'amuzi pia vinauwezo tofauti wa kudaka na kusambaza picha kwa ubora.Ivi vya digitek ni ving'amuzi bora kabisa kuwahi kufanya kazi TZ.Vinapokea mawumbi na kuvirusha katika ubora wa HD ivyo tv kuwa na muonekano mzuri wa picha.Haya ni mambo ya kitaalam kidogo ulitaka kujua zaidi tembelea ofisi zetu zilizo karibu yako

Mkuu,wewe ni agent wa hii kitu?
 
Basi wanaokiuza wasitegemee kupata senti toka mfukoni mwangu. King'amuzi kisicho na chenga mi cha nini? Raha ya futubolu chenga, sasa kama hamna chenga ina maana magemu ya Asenali na Baka sitayaona kimadoido.

Watanunua washabiki wa Man U na Chelsea tu waliozoea mipira ya kubutua
Ziro😛layball:
 
sijauliza uniambie nini maana ya kingamuzi
Im an ICT expert I know all this
ninachotaka kujua je kingamuzi kina uwezo wa kusambaza matangazo ya tv content provider ambae hatumii teknolojia ya HD au HQ katika matangazo yake?kumbuka kingamuzi ni just service provider na sio content provider.
kuna mdau kauliza kama digitek ni HD ndio hapo nkaanza kuuliza hili swali je ni kweli?
mm natumia canal digital huku madongo kuinamana na tunajua ni tv zipi wanatumia HD au HQ na zingine ni kawaida bado hawana mfumo huo wa HD, waelimisheni wananchi nini maana ya HD sio kuwahadaa tu kibiashara,.




King'amuzi kinaweza tv yako kupata picha zinazorushwa kwa kupitia technologia ya digital badala ya analogia.Digital inafanya tv yako idake mawumbi yaliyochujwq vzri na kuondolewa chenga chenga ivyo kufanya tv yako iwe na muonekano mzr zaidi hata kama ni tv ya chogo.Sasa apa king'amuzi kinausikaje na muonekano wa HD?
Ving'amuzi vinazidiana uwezo wa kupokea mawimbi yaliyo na ubora zaidi hapa nia sawa na kusema projector pia uwa na uwezo tofauti wa kuonesha ubora wa picha nazani unakubari basi hata ivi ving'amuzi pia vinauwezo tofauti wa kudaka na kusambaza picha kwa ubora.Ivi vya digitek ni ving'amuzi bora kabisa kuwahi kufanya kazi TZ.Vinapokea mawumbi na kuvirusha katika ubora wa HD ivyo tv kuwa na muonekano mzuri wa picha.Haya ni mambo ya kitaalam kidogo ulitaka kujua zaidi tembelea ofisi zetu zilizo karibu yako
 
Watanzania hatuwezi kumiliki ving'amuzi hali ni tete! 2mekurupuka kuingia digitali! hapa nazungumzia 80% ya watz
 
sijauliza uniambie nini maana ya kingamuzi
Im an ICT expert I know all this
ninachotaka kujua je kingamuzi kina uwezo wa kusambaza matangazo ya tv content provider ambae hatumii teknolojia ya HD au HQ katika matangazo yake?kumbuka kingamuzi ni just service provider na sio content provider.
kuna mdau kauliza kama digitek ni HD ndio hapo nkaanza kuuliza hili swali je ni kweli?
mm natumia canal digital huku madongo kuinamana na tunajua ni tv zipi wanatumia HD au HQ na zingine ni kawaida bado hawana mfumo huo wa HD, waelimisheni wananchi nini maana ya HD sio kuwahadaa tu kibiashara,.

hiki kidubwasha sio HD wala hakikaribii kuwa HD, ila kwa mtu atakaye migrate kutoka startimes kuhamia digitek ata notice tofauti ya ubora wa picha na sauti.
kwa kukiita HD wanaendeleza udanganyifu tu, hata sasa ukinunua wanakwambia utapata channel 20 ila chaajabu mi naona 15 ukiwauliza wanasema "tuliimaanisha zitakuwa 20 ivi karibuni ila kwa sasa kweli ni 15''
 
Muonekano wake ni mzuri sana nani wa HD na kinatumia antena ya ndani tu yoyote.Bei ni Tsh 160,000 pamoja na atena na kifurushi cha mwezi mmoja.Na bill yake kwa mwezi ni elfu 6 tu, kimajumuisha local 10 na International news kidogo.Kwa sasa kama unaitaji waweza kunijulisha au piga no 0784635662.Get connectes with Digteck

ww upo kibiashara zaidi! Mvuta kamba uvutia.....
 
Jamaa hawatorudi nyuma,wanasema 18% ya watanzania ndiyo wana umeme,sasa ukisema watanzania wengi hawapati matangazo hayo matangazo unakuwa hauko sahihi. Si maneno yangu ni ya J.Makamba.

Hata wasiporudi nyuma!! Kuna watu tusiopenda TV, akiwemo mimi na familia ninayoishi huko DSM, tumeshasahua hata TV ina rangi gani. Ikizingatiwa ving'amuzi vyenyewe vimejaa mizemgwe tele. Tutanunua baadaye sanaa....... Naomba Mungu wasilete digitali kwenye mfumo wa redio.
 
Bora tu niachane na hiki kichefuchefu Startimes!! nitakipiga kwa nyundo kabisa.
 
Jamaa hawatorudi nyuma,wanasema 18% ya watanzania ndiyo wana umeme,sasa ukisema watanzania wengi hawapati matangazo hayo matangazo unakuwa hauko sahihi. Si maneno yangu ni ya J.Makamba.

So tunakwendaje kwa hali hii bado sana tuko nyuma na tunajilazimisha kwenda na wakati.
 
Mkuu,wewe ni agent wa hii kitu?

ilo la uagent au sio naona halina issue apa.
King'amuzi hiki kinasifa zifuatazo
1)inakupa picha angavu na ubora wa hali ya Juu HD
2) Ina port ya HDMI
3) Iko kwenye mfumo wa kisasa zaidi wa MPEG4
4) Kinatumia flash
5) Ina uwezo wa kurekodi, kusimamisha na kuendelea na matangazo ya moja kwa moja PVR
6) Nirahisi kuunganisha(Plug and Play)
7) Haihitaji Dish ( inatimia antena ya kawaida kabisa)
Izo ndo sifa kuu 7 za nguvu inazozitofautisha na ving'amuzi vingine vy kishamba.
 
ww upo kibiashara zaidi! Mvuta kamba uvutia.....

Zifuatazo ni baadhi ya local channel na international channel from digiteck:-
local TV
ITV daima-Super brand TV in TZ
EATV
TBC1
Chanel 10, Star Tv, Capital TV, Clouds Tv, TMTV-tanzania music television, Pia kuna international news kama Aljazeera, emmanuel for christians and IBN TV for muslim, pia kuna Africa Tv swahili.
Kama kuna maswali zaidi uliza tu
 
Zifuatazo ni baadhi ya local channel na international channel from digiteck:-
local TV
ITV daima-Super brand TV in TZ
EATV
TBC1
Chanel 10, Star Tv, Capital TV, Clouds Tv, TMTV-tanzania music television, Pia kuna international news kama Aljazeera, emmanuel for christians and IBN TV for muslim, pia kuna Africa Tv swahili.
Kama kuna maswali zaidi uliza tu
Mkuu mbona special channels
za michezo, movies, musics, animal, Science, Indian, Fashion nk havipo?

Hapo naona baadhi tu ya Local channels(Hata DTV inayoonyesha klabu bingwa ulaya haipo), News channel na Religious channel.

Watu hatutaki channel nyingi pekee bali tunataka Channel muhimu na varieties!!

Vipi kuhusu Other African attractive channels kama Citizen, KBC, UBC, TVZ, SABC, Channel-e, TVM?
 
Back
Top Bottom