itakuwa upande wa power circuit yake kuna kitu kimekufa.. peleka tazara kunaofc za azam pale wanashughulikia kama upo darHabarini Wakuu.Nina King'amuzi changu cha azam sikukitumia yapata 4 months,leo nakiwasha hakiwaki..nikajua tatizo ni adapter,nikakijaribisha kwa jirani yangu kupitia adapter yake..lakini bado tatizo lipo vilevile..Msaada wakuu nifanyaje.
kama kipo ndan ya warrant ya mwaka mmoja ni bure.. ila kama ni cha muda mrefu nafikir haizid elf 10 ,watakupa muongozo,. kila la kheri..asante mkuu..vipi gharama zake.