Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Okey nakutakia maisha marefu na huyo mtumia simu ya tigo. Thanks for being honest.
N'take radhi mpwa mimi sina kabisa laini hiyo.
Okey nakutakia maisha marefu na huyo mtumia simu ya tigo. Thanks for being honest.
Okey nakutakia maisha marefu na huyo mtumia simu ya tigo. Thanks for being honest.
N'take radhi mpwa mimi sina kabisa laini hiyo.
Hahahaha mpwa acha mkwara mwenzio nala taratiiiiiiiiibu karagha baho.
Ha ha ha,
alisema none of the above, nikajua hata wewe ni none of the above kumbe uko within. Nikajua kamchagua mzee wa kuji express. Kumbe wewe du! samahani comrade na hongera.
Mliochangia mada hii mnadakia tu mambo na si kuchanganua mambo, kisa mdau pale juu kamtaja King Crazy GK kama Nguli akimaanisha Mahiri wa fani hiyo ya muziki na kwa bahati kuna ndugu analog in kama Nguli naye akajieleza pale mkajua ndiye mwenyewe King Crazy GK. Aliyetoa maelezo hayo. Someni kwanza kabla ya kuchangia, maana naona kuna watu wakiingia humu badala ya kuonesha ujuzi wa kufikiri kama one among great thinkers wanakuja na ubishi na lugha chafu, kama hamna mada laleni mpate afya njema. kama kuna mdau anafahamu ndugu yetu King Crazy GK yuko wapi atupe habari maana kusema ukweli ukitaja bongo 'flavour' jina la King Crazy GK nalo litakumbukwa jamani.
Don't take it personal man!
Haya wewe ndg yetu ndio GREAT THINKER na hapa umeonyesha how deep ur in thinking.
His style was a problem, hana vina plus mistari myepesi sanaaaa.
Okey nakutakia maisha marefu na huyo mtumia simu ya tigo. Thanks for being honest.
N'take radhi mpwa mimi sina kabisa laini hiyo.
Haa haa haaa, nimekumbuka ule wimbo wake wa 'NITAKUFAJE', na kweli alitabiri kifo chake, ingawa sasa ni kifo cha mistari. Nadhani sasa amepata jibu kuwa amekufaje!Mpwa ha ha haaa, kama ni kufa kila mtu afe na kifo chake,
Tusije kufa uniform death ka wale wa Chake Chake,
Anapenda mikate, wewe utampa mate,
Hapa mnazidi kunichanganya nilijua ni BURN
Hahahaha wote mmeliwa mzee wa kujinafasi na bembea
Haa haa haaa, nimekumbuka ule wimbo wake wa 'NITAKUFAJE', na kweli alitabiri kifo chake, ingawa sasa ni kifo cha mistari. Nadhani sasa amepata jibu kuwa amekufaje!
nafanya maombi, ntakayefunuliwa na Mungu ndo huyo huyo!!! huyo unayemrrefer hapa sijui nani
hatujasikia mashairi yako yenye Viina mzee, usikatishe watu tamaa, jamaa anapafomu vizuri tu na kama wewe unaona hayana viina si wewe mzee, acha unafiki huo.
na hiyo picha ya mtu aliye kufa----------mzee you aint a realistic nigga kama huwezi kukubali wengine wakifanyacho
Haa haa haaa, nimekumbuka ule wimbo wake wa 'NITAKUFAJE', na kweli alitabiri kifo chake, ingawa sasa ni kifo cha mistari. Nadhani sasa amepata jibu kuwa amekufaje!