King crazy gk

King crazy gk

duh, sauti mbaya mkuu!,
utakuaje mwanamziki na sauti lina kigugumizi, sauiti linakwaruza kama la Gamba bana, aaarrrghh.

GP wajua kila mtu ana uzuri wake kama wewe unaona sauti yake feki mie ilikuwa inavutia hahahaha ..
i like it
 
GP wajua kila mtu ana uzuri wake kama wewe unaona sauti yake feki mie ilikuwa inavutia hahahaha ..
i like it
hahaaaa, ile sauti alikua anamuiga noniliiii huyu wa usa usibishe!.
sasa yukwapi?.
mistari yake haina vina wali mizani, hebu sikia hapa, Hii Leo:

.....eyoo nikisema one enyi machizi semeni two,
nikisema three enyi machizi semeni O,


sasa mistari gani hii??, MACHIZI ndio nini??.
alisema 'tmk rapstyle sasa kwisha', thubutuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom