MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,557
- 24,182
Usitake tuongee kila kitu hapa.Oh my God Hivi concept imeeleweka hapo. Kuna Urafiki na Kuna nchi?!?!?! Have you got Kinana's Concept lakini au kurukia tu kuchangia. Hebu rudi kasome juu uelewe maana yake. Mambo mengine si lazima kusema bayana hasa kwa mzee mwenye busara na mwenye diplomasia kama Kinana!
Hakuna Bunge wala chombo chochote kilichothibitisha kuwa EL ni Fisadi au mwizi. Mmeambiwa muende kwenye vyombo husika(mahakamani) mnaendelea kuharisha humu!! pateni dawa haraka au mtakufa kwa kihoro!!Kama,wana pigiana simu sawa lakini hiyo aimfanyi maMvi asiwe fisadi. Alisha thibitishwa na Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwamba maMvi ni mwizi. kwahiyo kama wanapigiana simu na kinana aitufanyi sisi wananchi watanzania tusijue rangi halisi za maMvi. Mkitaka kumsafisha kwa haki mumpe nafasi ya kugombea ubunge ili aende kwenye Bunge lilelile lililo thibitisha kwamba yeye alikua kinara wa wizi katika mradi wa kufua umeme wa richmondi, akawaambie mlinionea, mniombe radhi.
Hakuna namna sisi Watanzania tutawaelewa bilayeye kwenda kujisafisha Bungeni, mengine mnayoleta itabaki kuwa porojo.
Yaani hapo ndio shida utapate vyombo aka Ndovu red Malt.Hahah jamaa ni Colonel ulikuwa hujui ? Hilo la kuwekwa jeshi kwamba huruhusiwi kugonga mvinyo wakati wa kazi ni sawa na kumpa mjeshi bunduki halafu umwambie ni saa ya ukutani
''Ni rafiki yangu, lakini kuna urafiki na kuna nchi. Binafsi nadhani sisi bado ni marafiki. Tangu uchaguzi umekwisha tumeshakutana mara nyingi, tumeshapigiana simu mara kadhaa. Tunazungumza, sitaki kuamini kwamba ana nongwa, na hata kama ana nongwa nitamuelewa. Unajua, kama nilivyosema hapo mwanzo, kuna urafiki wangu na Lowassa na kuna nchi'' - Abdulrahmaan Kinana.
kasome maana ya Diplomasia kwanza ndio uje jukwaanni! Yote hayo uliyoeleza hapo juu ni kwa kuwa kama alivyosema mwenyewe. Yeye ni Rafiki wa Lowasaa ndio sababu ya kumtafuta ili anongee naye km. rafiki lakini mwisho wa yote yeye NCHI kwanza au hujamuelewa jamani Dah walimu wana kazi hebu waongezewe mishahara!Usitake tuongee kila kitu hapa.
Kinana ni MNAFIKI no moja.
Kabla Lowassa hajajitoa CCM alikuwa pamoja nae na Lowassa alikuja kukiri kuwa Kinana alikuwa akimpa taarifa zote na mpaka BAADA ya Kamati ya Maadili na Kamati Kuu kukaa na kukata majina likiwemo jina lake aliendelea kumwambia yeye yupo salama.
Na ndio mana baada ya Lowassa kukatwa Kinana alimpigia simu sana Lowassa lakini hakupokea. Akaanza kumtumia Bashe ili aonane na Lowassa lakini Lowassa akachomoa, na hata JK alimtumia sana Bashe aonane na EL lakini aliwajibu kwamba aachwe apumzike.
Sasa huyo nae ndie unamwita mwanadiplomasia huyo Kinana?? Yuda Iskariote huyo.
Wee mwache aendelee kupenda bia ya Ndovu tu...!!
Forty yale inakaribia...
Kuna General Waitara pale sasa ivi.
Walijuana UDSM na naabade JWTZ.Lowasaa na Kinana hawajajuana mitaani.
DuuhUkiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
Kwamba jk nyerere mwenyewe amesalenda kwa hao vijana.Boys II Men wa Tz hao waliosimama.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aliwaita oil chafuMkuu mbona mimi sikumbuki kama Mzee Kinana alinena hayo?
Zaidi nakumbuka alivyokuwa akimuonya Nape alipokuwa akimsema Mzee Lowassa ktk ile mikutano yao waliyozunguka nchi nzima kabla ya uchaguzi.
Kujuana=mke na mumeLowasaa na Kinana hawajajuana mitaani.
Nani huyo ? Aliyefanya kazi nzuri?Kwangu kamati ile ilifanyakazi nzuri kwakuwa iliundwa na wabunge mahiri kutoka kwenye vyama tofauti. na mmoja wa wajumbe kutoka upinzani alikuwepo Dr slaa. Nakumbuka maMvi alifanya jitihada ili awa honge baadhi ya wajumbe lakini ilishindikana ii ni kwamujibu wa maelezo ya dr slaa.
Faiza habari za siku nyingi bhana? Za tangu kipindi cha uchaguzi?Hakuna Muislam aogopae kufa, kumbuka hilo.
Ukimuona Muislam anaogopa kufa ujuwe huyo ana walakin.
Kuna mtu anaogopa haki yake? umauti ni haki ya kila binaadam.
Kinana ni GURU wa Siasa ...
''Ni rafiki yangu, lakini kuna urafiki na kuna nchi. Binafsi nadhani sisi bado ni marafiki. Tangu uchaguzi umekwisha tumeshakutana mara nyingi, tumeshapigiana simu mara kadhaa. Tunazungumza, sitaki kuamini kwamba ana nongwa, na hata kama ana nongwa nitamuelewa. Unajua, kama nilivyosema hapo mwanzo, kuna urafiki wangu na Lowassa na kuna nchi'' - Abdulrahmaan Kinana.
Kinana ni rafiki wa kweli hata kwenye kampeni hakuwahi kumsema vibaya Lowasa zaidi ya kuinadi ccm, nina imani hata kura yake ilienda kwa Lowasa.