Kinana: Lowassa ni Rafiki yangu

Kinana: Lowassa ni Rafiki yangu

Kama,wana pigiana simu sawa lakini hiyo aimfanyi maMvi asiwe fisadi. Alisha thibitishwa na Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwamba maMvi ni mwizi. kwahiyo kama wanapigiana simu na kinana aitufanyi sisi wananchi watanzania tusijue rangi halisi za maMvi. Mkitaka kumsafisha kwa haki mumpe nafasi ya kugombea ubunge ili aende kwenye Bunge lilelile lililo thibitisha kwamba yeye alikua kinara wa wizi katika mradi wa kufua umeme wa richmondi, akawaambie mlinionea, mniombe radhi.

Hakuna namna sisi Watanzania tutawaelewa bilayeye kwenda kujisafisha Bungeni, mengine mnayoleta itabaki kuwa porojo.
Hvi wewe ni bunge au mahakama ndo inathibitisha tuhuma za mtu?,.
 
Itakuwa ndio alimtuma aende akaivuruge chadema... Big up kinana
 
lowassa,kinana,kikwete.jpg
 
Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
kila mtu ana siku yake ya kufa. naweza kusema wewe utakufa karibuni kwa kua ninaona unaumwa lakini siku yangu ni kesho kwa ajali ya gari. nyie watu mumekaa kigwajimagwajima ovyo tu kazi yenu kukimbiza malisho.
 
Mkuu mbona mimi sikumbuki kama Mzee Kinana alinena hayo?
Zaidi nakumbuka alivyokuwa akimuonya Nape alipokuwa akimsema Mzee Lowassa ktk ile mikutano yao waliyozunguka nchi nzima kabla ya uchaguzi.
Kwahiyo kwa kifupi unataka kutuambia Nape atafuata baada ya nani?? Kama ni baada ya Sitta watu waanze kujipanga mapema.
 
Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
Mbona tunapenda kuzusha uongo! Nimemsoma Kinana mara nyingi kwenye magazeti sio mtu wa siasa za namna hiyo!
 
Na kwamba anajiandaa kujiunga na chama cha Lowassa baada ya kuujua ukweli na kukamilisha mipango yake ya kujiuzulu ndani ya gari bovu.
(Joke)

Hapo kuna mawili,kuna kujiunga na chama cha lowassa au lowassa kuludi kundini kama zamani.na huyo lowasa akiludi ccm ,basi magu 2020 ajipange.
 
Hakuna binadam yeyote mwenye akili timamu anayeogopa kifo. Kwa Mkristo neno linasema "kuishi ni Kristo kufa faida. Kwa kila Mkristo aaminiye.

But hata asiyeamini anajua kama alizaliwa then hatoish milele.

Siyo aleluya ni HAlleluyah.au Haleluyah.
Umekosoa au!? Maana ni ile ile ila umerefusha maneno tu na kuongeza nukuu za baibo
 
Kwahiyo kwa kifupi unataka kutuambia Nape atafuata baada ya nani?? Kama ni baada ya Sitta watu waanze kujipanga mapema.
Hakuna aijuaye kesho yake mkuu,huenda nikawa mimi!
Naogopa kumnyooshea mtu kidole kwa utabiri wa mauti maana kila nafsi itaonja umauti kwa wakati wake.
 
Kinana ana matatizo yake sio hayo ya uswahili wa kumsemea vibaya mwenzake
Ukitaka kugombana naye wewe pita kwenye anga zake za Ndovu beer anagonga mvinyo huyo ,Tanzania nzima hakuna kwa mbali kidogo anafuatiwa na yule Mbunge wa Mbarali

Hata ile picha yake na Lowasa kwenye jubilee ya Mkapa ni jibu tosha
Kweli anagonga Ndovu beer na hivi serikali imeweka jeshi huruhusiwi kugonga wakati wa kazi kwaiyo itakuwa tabu tupu.
Mkuu mbona mimi sikumbuki kama Mzee Kinana alinena hayo?
Zaidi nakumbuka alivyokuwa akimuonya Nape alipokuwa akimsema Mzee Lowassa ktk ile mikutano yao waliyozunguka nchi nzima kabla ya uchaguzi.
 
Lazima mjikombe kwa EL tu...
Kwa dhambi ambazo mlimfanyia... kashfa, chuki, fitina na matusi hamtasalimika kabisa.
Na kwasasa mnavyomwona Lowassa amezidi kuimarika ndio mnapagawa kabisa... kila mmoja anadai yeye ni rafiki yake...!!
The number is too long.. Let's wait and see who is next..!!
Oh my God Hivi concept imeeleweka hapo. Kuna Urafiki na Kuna nchi?!?!?! Have you got Kinana's Concept lakini au kurukia tu kuchangia. Hebu rudi kasome juu uelewe maana yake. Mambo mengine si lazima kusema bayana hasa kwa mzee mwenye busara na mwenye diplomasia kama Kinana!
 
Juzi mlikua mnahoji mbona kinana kimya,sasa kaja kwa namna ingine kabisa ya kumsifia lafikiake,anawaambia kua ,nimekaa kimya kwasababu anayoyafanya huyo mtu wenu hatukutegemea na tunajuta kumuweka.bora tungemuweka yuleyule.
 
Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
Hakuna dhambi yoyote, Kinana anamwambia ukweli kabisa urafiki sawa ila ufisadi no
 
Kweli anagonga Ndovu beer na hivi serikali imeweka jeshi huruhusiwi kugonga wakati wa kazi kwaiyo itakuwa tabu tupu.
Hahah jamaa ni Colonel ulikuwa hujui ? Hilo la kuwekwa jeshi kwamba huruhusiwi kugonga mvinyo wakati wa kazi ni sawa na kumpa mjeshi bunduki halafu umwambie ni saa ya ukutani
 
Back
Top Bottom