Kinana: Lowassa ni Rafiki yangu

Kinana: Lowassa ni Rafiki yangu

Mboana Mbowe ni rafiki sana wa Kikwete hamlisemi hilo?

images
Ungekuwa wewe ungekuwa umeshamrekebisha mtu
 
Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
Kila mtu atakufa wao kusema lowassa atakufa haimaanishi wataishi milelel
 
Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
Ndugu, unamaana kuwa Mr. White hair ndo mhusika WA vifo hivyo (6) unavyosema? Na bado Ana list nyingine??
 
Lazima mjikombe kwa EL tu...
Kwa dhambi ambazo mlimfanyia... kashfa, chuki, fitina na matusi hamtasalimika kabisa.
Na kwasasa mnavyomwona Lowassa amezidi kuimarika ndio mnapagawa kabisa... kila mmoja anadai yeye ni rafiki yake...!!
The number is too long.. Let's wait and see who is next..!!
Hivi kina msigwa waliwahi kumuomba msamaha
 
Kitawakosanisha nin kama hawajarushana kwenye madili yao?

12dcaa3ccd5011bd7001a3ebcf5c1fa5.jpg


''Ni rafiki yangu, lakini kuna urafiki na kuna nchi. Binafsi nadhani sisi bado ni marafiki. Tangu uchaguzi umekwisha tumeshakutana mara nyingi, tumeshapigiana simu mara kadhaa. Tunazungumza, sitaki kuamini kwamba ana nongwa, na hata kama ana nongwa nitamuelewa. Unajua, kama nilivyosema hapo mwanzo, kuna urafiki wangu na Lowassa na kuna nchi'' - Abdulrahmaan Kinana.
 
Kasuku hawezi toa neno jipya...hutoa aliyoyakariri tu.Tumekaririshwa neno FISADI..sasa tunakaririshwa neno UHAKIKI...HEWA... tulikaririshwa maneno UPEMBUZI....USANIFU....MCHAKATO nk..nk...next sijui tutakaririshwa yepi.
KINANA na EL hawa ni dam dam...waliandaliwa na marehemu SOKOINE pamoja na Aljabri RIP.
 
Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
WEWE UNAMUABUDU LOWASA !?
 
Hakuna Muislam aogopae kufa, kumbuka hilo.

Ukimuona Muislam anaogopa kufa ujuwe huyo ana walakin.

Kuna mtu anaogopa haki yake? umauti ni haki ya kila binaadam.
Mh... Kweli faiza sitaki kuamini katika hilo kifo kinaogopesha
 
Back
Top Bottom