FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Mh... Kweli faiza sitaki kuamini katika hilo kifo kinaogopesha
Kwaanini uogope kifo na wewe upo hapa transit tu.
Mh... Kweli faiza sitaki kuamini katika hilo kifo kinaogopesha
Tatizo ukiwa na dhambi lazima uogope kufa.Hakuna Muislam aogopae kufa, kumbuka hilo.
Ukimuona Muislam anaogopa kufa ujuwe huyo ana walakin.
Kuna mtu anaogopa haki yake? umauti ni haki ya kila binaadam.
Kabisa FaizaFoxyLowasaa na Kinana hawajajuana mitaani.
ushahidi mnao mbona hamkumshatik mpaka anarudisha tuhuma kuwa tatizo ni uwaziri mkuu,pia alisema yeye alipewa maelekezo kutoka juu nani alie kuwa mkuu wake wakazi wakati huo,why kijana kama weweunaendeleza stupidity allegation??kumchafua au kumtusi Lowassa kumeanza since 2007 now ni miaka tisa pesa iliopigwa ya richmond haijarudi mitambo yake inatumiwa na symbion company mpaka leo huwa napata mashaka sana unauwezo wenu wakufikiri watu kama weweKwangu kamati ile ilifanyakazi nzuri kwakuwa iliundwa na wabunge mahiri kutoka kwenye vyama tofauti. na mmoja wa wajumbe kutoka upinzani alikuwepo Dr slaa. Nakumbuka maMvi alifanya jitihada ili awa honge baadhi ya wajumbe lakini ilishindikana ii ni kwamujibu wa maelezo ya dr slaa.
Mbona Nape hafi?? Mungai nae alimsema Lowassa mgonjwa?Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
Story za kwenye kahawa hizo..Usitake tuongee kila kitu hapa.
Kinana ni MNAFIKI no moja.
Kabla Lowassa hajajitoa CCM alikuwa pamoja nae na Lowassa alikuja kukiri kuwa Kinana alikuwa akimpa taarifa zote na mpaka BAADA ya Kamati ya Maadili na Kamati Kuu kukaa na kukata majina likiwemo jina lake aliendelea kumwambia yeye yupo salama.
Na ndio mana baada ya Lowassa kukatwa Kinana alimpigia simu sana Lowassa lakini hakupokea. Akaanza kumtumia Bashe ili aonane na Lowassa lakini Lowassa akachomoa, na hata JK alimtumia sana Bashe aonane na EL lakini aliwajibu kwamba aachwe apumzike.
Sasa huyo nae ndie unamwita mwanadiplomasia huyo Kinana?? Yuda Iskariote huyo.
Wee mwache aendelee kupenda bia ya Ndovu tu...!!
Forty yale inakaribia...
Kuna General Waitara pale sasa ivi.
Ahahaaaaaa![]()
''Ni rafiki yangu, lakini kuna urafiki na kuna nchi. Binafsi nadhani sisi bado ni marafiki. Tangu uchaguzi umekwisha tumeshakutana mara nyingi, tumeshapigiana simu mara kadhaa. Tunazungumza, sitaki kuamini kwamba ana nongwa, na hata kama ana nongwa nitamuelewa. Unajua, kama nilivyosema hapo mwanzo, kuna urafiki wangu na Lowassa na kuna nchi'' - Abdulrahmaan Kinana.
Acha masihara kifo kinatisha wewe!!Kwaanini uogope kifo na wewe upo hapa transit tu.
Acha masihara kifo kinatisha wewe!!
Najua tutakufa ila haiondoi ukweli kwamba kifo kinatisha na kinaogofya!!Kinatisha nini? Kifo ni haki na sote tutakufa, au hulijuwi hilo?
Kama unakiogopa kifo anza kurudi kwa mola sasa, Enter into Peace Now siyo ungoje wakuombee u Rest in Peace.
Kinana na Jeikei walikuwa wanakwepa kumnanga Mmasai juu ya afya yake, sijui kwa nini?Mkuu mbona mimi sikumbuki kama Mzee Kinana alinena hayo?
Zaidi nakumbuka alivyokuwa akimuonya Nape alipokuwa akimsema Mzee Lowassa ktk ile mikutano yao waliyozunguka nchi nzima kabla ya uchaguzi.
Hata kamaLowasaa na Kinana hawajajuana mitaani.
Ukiona hivyo anatafuta namna ya kufuta dhambi zake asije akafa kama wenzake, hivi na yeye si yuko kwenye list ya watu waliomuita Lowasa ni mtu wa kufa??? CCM wanakana maneno yao leo! Wote hao waliomnenea Lowasa mabaya ya kifo ujue wako kwenye list, it is a matter of time tu. So far wameshaondoka kama sita hivi so who is next? Kinana mpigie magoti Lowasa
Katibu wenu anajua kilichotokea ndiyo mana anatubu we songa mbele.Labda urais wa wasafi, ila mshindi wa Urais wa Tanzania anafahamika na ndiye Rais wa sasa!