Kinana amburuza Msigwa kortini

Kinana amburuza Msigwa kortini

Si mimi ninayesema, bali ni maneno yake mwenyewe Peter msigwa kwenye twitter yake. Nimeitafuta Twit yake na kuwawekea hapa.


Mmh, Siasa za Tanzania bana. "Weka mbali na tembo" ndiyo nani?.

Ina maana huyo mtu amemtaja kwa jina la "weka mbali na tembo" kwenye polisi file, kama sivyo, sasa Mh. Msigwa anaogopa nini kulisema jina la huyo aliyetajwa kwenye police file.

Habari yake anaileta kwa njia ya kiudaku zaidi wakati yeye ni Mheshimiwa Mbunge anaye QUOTE yaliyosemwa na aliyekamatwa na pembe za ndovu.
 
Mahakama zetu hazijapata kansa ya kisiasa kama polisi na usalama wa taifa, na ninatumaini zitatoa hukumu ambayo ni fair for all.

Kesi hii itatupatia mwanga kuhusu yaliyoko ndani ya biashara hii haramu ya nyara za serikali.

Hapa ndiyo tutajua mbivu na mbichi kwa sababu sheria hazina siasa wakati siasa mara nyingi hazina sheria.
 
Kinana ni JANGILI tena anayepaswa KUNYONGWA MPAKA KUFA.
Tembo anauwa anavyotaka halafu leo serikali inamchekea . . .

mnamwagia watu tindikali, mnalisha watu sumu, mnajilipua mabomu leo mnajifanya wajuaji wehu nyie. Tumewagundua na watz wanawachora tu saivi.
 
Mahakama ndo imewasafisha Mburura wewe, Unless useme Mahakama haina akili

huna akili, kesi bado zipo mahaka;ani zinaendelea. Mnalisha watu sumu na kuwamwagia tindikali... Lazima mle miaka wahuni nyie
 
Si kosa lake jamani,so mie nadhani mh Kinana angemsamehe tuu.
Maana viroba wanavyokunywa vimewafanya kua mazezeta na walopokaji!

Afu mandieta kuna siku pale taifa ntakutwanga ngumi kwa sababu ya maneno zako hizí mbofumbofu.
Copy: watu8
 
Last edited by a moderator:
KWA WATU WENYE KUANGALIA MBALI nafikiti issue ya igunga haimu tena kwenye vichwa vyao kwani mahakama chini ya utwala wa chama tawala imeisha litolea hukumu! 2+1=3 na siyo 4 !!

kesi ya kutaka ka kwa kummwagia tindikali musa tesha ipo pale pale ww kilaza..kileo ambae ni katibu wa chadema mkoa wa kinondoni na wenzake ndio wastakiwa wakuu
 
WanaJF!

Katibu mkuu wa CCM, bwana Kinana, amefanya kweli kwa kuitimiza dhamira yake ya kumpeleka mchungaji Msigwa mahakamani endapo mchungaji huyo atakaidi fursa ya kumuomba radhi bwana Kinana.

Bwana Kinana alitoa fursa hiyo ya kuombwa radhi kufuatia kuchafuliwa taswira yake kwenye jamii, baada ya kudaiwa kuwa yeye ana jihusisha na masuala ya ujangili, jambo ambalo amelikanusha vikali.

Mchungaji Msigwa ameonekana mahakamani siku ya tar 14 akiwa na mawakili Tundu Lissu na Bwana Kibatala kama watetezi wa upande wa mshtakiwa.

My take,

Nilikuwa nasubiri kwa hamu sana kesi hii ya kumshtaki mchungaji Msigwa kwa tabia yake ya kuropoka ovyo ovyo. Shukrani bwana kinana kwa hatua uliyo chukua. Sasa kazi kwa Msigwa kuthibitisha tuhuma zake za ujangili kwa bwana Kinana.

hapa furaha yako ni ipi msigwa kushitakiwa auu shauri kufikishwa mahakamani kutafuta haki.
 
Kweli mkuu,

Hakuna gazeti lolote lililotoa hii taarifa, ila ukweli ni kwamba Kinana amefungua mashtaka dhidi ya Msigwa rasmi. Habari zaidi nitaendelea kuweka, na kama kuna mtu anaweza kuzileta pia itakuwa ni jambo jemba kwa maslahi ya wanaJF wote.

You sound like having interest kwenye hii issue. Kunani maana ushamuhukumu Msigwa eti kwa kuropoka. Je, ikidhihirika Msogwa has evidence to support what he said, what will you do. Utaomba msamaha kwa kumwita mropokaji? Na Msigwa ni mropokaji kwa kumsema Kinana au kwa kile alichokianika hadharani?
 
Mkuu, sidhani kama Kinana angukuwa na ujasiri wa kwenda mahakamani na kufungua mashtaka kwa Msigwa kama kweli angekuwa jangili au kujihusisha na vitendo hivyo kwa nama yoyote ile.

Hata mgoni mashuhuri hukanusha kuiba wake za watu, sembuse huyu?
 
Mahakama zetu hazijapata kansa ya kisiasa kama polisi na usalama wa taifa, na ninatumaini zitatoa hukumu ambayo ni fair for all.

Kesi hii itatupatia mwanga kuhusu yaliyoko ndani ya biashara hii haramu ya nyara za serikali.

Hapa ndiyo tutajua mbivu na mbichi kwa sababu sheria hazina siasa wakati siasa mara nyingi hazina sheria.

A very good input na iliyoenda shule. Mimi nashangaa wanaomtukana Msigwa katika hili ingawa sisemi alikuwa sahii kumhusisha Kinana. Lakini huenda hii kesi ikatusaidia sana na labda ika set precedent kwenye sharia zinaratibu different industries ili kutoa loophole ya watu kurushiana mpira mambo yapoharibika na kuchukua sifa mambo yakienda vizuri. Nina imani kama Kinana mdau kwenye usafiri wa vyombo au chombo cha majini kilichosafirisha meno ya ndovu ingetokea ikafichuliwa au kuzuiwa kusafirishwa kwa meno hayo, hivi tungekuwa tunasema vingine. Hata kampuni ingekuwa ni moja zilizotoa ushirikiano au sio leo angetaka sifa zote ziende kwake. Sasa kwa kuwa hakuzuia na kampuni yake imehusika kwa nafasi yake kama wakala tunahitaji sheria hizi zirekebishwe ili ziende na wakati kuzuia mdau mmoja kuacha uovu ufanyike kwa kisingizio cha wajibu wangu ni mwingine
 
A very good input na iliyoenda shule. Mimi nashangaa wanaomtukana Msigwa katika hili ingawa sisemi alikuwa sahii kumhusisha Kinana. Lakini huenda hii kesi ikatusaidia sana na labda ika set precedent kwenye sharia zinaratibu different industries ili kutoa loophole ya watu kurushiana mpira mambo yapoharibika na kuchukua sifa mambo yakienda vizuri. Nina imani kama Kinana mdau kwenye usafiri wa vyombo au chombo cha majini kilichosafirisha meno ya ndovu ingetokea ikafichuliwa au kuzuiwa kusafirishwa kwa meno hayo, hivi tungekuwa tunasema vingine. Hata kampuni ingekuwa ni moja zilizotoa ushirikiano au sio leo angetaka sifa zote ziende kwake. Sasa kwa kuwa hakuzuia na kampuni yake imehusika kwa nafasi yake kama wakala tunahitaji sheria hizi zirekebishwe ili ziende na wakati kuzuia mdau mmoja kuacha uovu ufanyike kwa kisingizio cha wajibu wangu ni mwingine
Mkuu bigaraone , Ninashukuru kwa kuliona hilo jambo kama ulivyoainisha hapo juu.

Tatizo kubwa ninaloliona kwa wachangiaji wengi ni kujenga hoja zenye msukumo wa kisiasa na hasa kiitikadi wakati siasa mara nyingi hazina sheria na pia zina ukosefu wa common sense.

Hapa kuna possibility ya makosa ya jinai na pia kuna possibility ya wanasiasa kupewa somo na mahakama la kuchunga mdomo wao na kuwa waangalifu katika nyendo zao kisiasa.

Kama kauli ya Mh. Msigwa itakubalika kisheria mahakamani kama niya kweli basi hiyo hukumu itakuwa itabeba makosa ya jinai yatakayohitaji malipo kisheria kwa mkosaji kwa maana kuwa Kinana au Chombo chake cha usafiri au vyote kwa pamoja lazima washitakiwe mahakamani kwa makosa yaliyofanyika.

Kama kauli ya Mh. Msigwa itakuwa imetolewa kisiasa kwenye jambo ambalo nila kisheria basi sheria inatakiwa imuonyeshe na kumuadabisha kuwa siyo kila sehemu anaweza akaweka siasa kwa sababu sheria hazina siasa.

Uendeshaji wa kesi hii ndiyo utatuwezesha kujua kama kuna ambiquity katika local and international shipping law na hivyo kuifanya serikali au Mbunge kupeleka muswada wa marekebisho ya sheria bungeni kwa faida ya Watanzania wote.

Mind you, sometimes law is an ass.
 
Mkuu, sidhani kama Kinana angukuwa na ujasiri wa kwenda mahakamani na kufungua mashtaka kwa Msigwa kama kweli angekuwa jangili au kujihusisha na vitendo hivyo kwa nama yoyote ile.

Njoo arusha ndio utajuwa kazi ya kinana miaka 1989 alikuwa maarufu kwa kuingiza mandrax,na biashara ya pembe za ndovu ndio biashara kuu ya familiya yake
 
Nasikia baada ya miaka 7 leo mchungaji ameungama
 
Back
Top Bottom