Kinana amburuza Msigwa kortini

Kinana amburuza Msigwa kortini

Safi sana kitaeleweka tu! Kwanini Kinana alisubiri kuombwa msamaha? Kwanini alichelewa kupeleka mahakamani? Alidhani Msigwa ni mwoga kiivyo na hana ushahidi wa kutosha?
 
Kweli mkuu,

Hakuna gazeti lolote lililotoa hii taarifa, ila ukweli ni kwamba Kinana amefungua mashtaka dhidi ya Msigwa rasmi. Habari zaidi nitaendelea kuweka, na kama kuna mtu anaweza kuzileta pia itakuwa ni jambo jemba kwa maslahi ya wanaJF wote.

hata Uhuru ?
 
Cheki ulivyo mshamba bavicha hata akili hamnazo...siyo UMBEYA ni UMBEA hili vipi.

Baada ya masahihisho yako umepata ushahidi wowote kutetea hoja yako kwamba msigwa amropokaji? Marangapi na katika mahakama zipi ametibitishwa kuwa mropokaji?

Umbeya au umbea vyovyote vile ujumbe umekufikia
 
Hamidu , vipi kuhusu yule mzungu wa Kinana ? Maana pamoja na mambo pembe za ndovu inasemekana kaongezewa tuhuma za udhalilishaji ( hasa mabinti ) !
 
Baada ya masahihisho yako umepata ushahidi wowote kutetea hoja yako kwamba msigwa amropokaji? Marangapi na katika mahakama zipi ametibitishwa kuwa mropokaji?

Umbeya au umbea vyovyote vile ujumbe umekufikia

Mtu mzima akiumbuka huchutama, mkuu wewe umeumbuka kwani umeshindwa kutofautisha kati ya "UMBEYA" na "UMBEA", mimi ningekushauri huchutame.
 
WanaJF. Hakuna cha kujadili hapa kwa kuwa mleta mada hana uhakika na taarifa yake wala source. Funga hii mada mpaka utapopata habari kamili na yenye reliable source - then ujipange tena upya.

Wewe ni mgeni JF?

Hemu jiulize ni kwanini kuna kitufe cha "tetesi" humu jamvini!

Hii habari ni ya kweli, na source ni mimi mwenyewe. Ni kitu gani hasa cha ziada unacho taka kujua kuhusu hii habari?
 
Mkuu, sidhani kama Kinana angukuwa na ujasiri wa kwenda mahakamani na kufungua mashtaka kwa Msigwa kama kweli angekuwa jangili au kujihusisha na vitendo hivyo kwa nama yoyote ile.

CCM wana akli kwani ???
Kama walikurupuka na CD ya Ugaidi Mahakamani ambayo kwa Sasa imechuta watashindwa kumshawishi Kinana kwenda Kufungua kesi na Kuaibika Mahakamani ????
 
Thubutu!
Msomali Kanali Abdulrahman Kinena ni jangili sugu la meno ya tembo lililokubuhu na lililoshindikana na serikali hii dhaifu kama vile Prince Rizwani Kiqwete alivyo drug baron!
 
Mtu mzima akiumbuka huchutama, mkuu wewe umeumbuka kwani umeshindwa kutofautisha kati ya "UMBEYA" na "UMBEA", mimi ningekushauri huchutame.

Kwahiyo hoja yako ni umbeya Vs umbea? Poor Hamy-D.........

Kuhusu hoja ya kesi mahakamani
1. Unahakika Msigwa hana ushahidi?

2. Nimahakama zipi zimewahi kuthibitisha kwamba Msigwa ni Mropokaji na mara ngapi?

3. Vip kuhusu kukiri kwa msomali/kinana kwamba meli yake ilihusika na ubebaji meno ya tembo, sheria zinasemaje?

4. Vipi unasema msigwa atalipa fidia hukum ya hii kesi imeshasomwa? Kama bado hitimisho hilo unalipata wapi?
 
Huyu Kinana ni Msomali, hana chembe ya uzalendo kwa nchi hii, arudi kwao! ni Jangili wa meno ya tembo!
 
Mkuu,

Kwa wanasheria wataelewa hapa, kuna hii ishu inaitwa defarmation, nadhani ndio litakuwa shitaka namba moja kwa mchungaji Msigwa, na utakumbuka kutokana na kashfa hiyo kuwa Kinana ni jangili, ili sababisha Kinana avunje makubaliana na partners wake na ili m-cost si chini ya milioni 300 pesa za Tanzania. Sasa unaweza kupata picha ya hiyo fidia atakayolipa Msigwa kwa Kinana.

How did you know this if you are not comibg from lumumba?
 
Mahakama zote za kwenu(ccm),pilato wote wa kwenu,so mnaweza kushinda kesi.Lakini mnaweza kuhadaa umma miaka mingi sana but hamtaweza kuudanganya umma MILELE.
Mbinguni hamna mwenye mahakama kule wala hakuna mwenye jaji kule,kule hukumu zitakuwa za haki!!Kilio cha wamama wajane na watoto yatima wanaopoteza ndugu zao kila dakika kwa sababu ya kukosa huduma mahospitalini kwa sababu ya ujangili wenu na ufisadi wenu unaolikosesha taifa fedha za kugharimia huduma hizo,hakika vilio hivyo vitakuwa juu yenu!
 
Msigwa kaza buti. Ulichaguliwa utetee wanyonge. Lijangili kinana lisikurudishe nyuma.Hata wana CCM wanaekewa kuwa Kinana ni Jangili
 
Sasa angefanyeje ilhali keshautangazia umma kwamba asipoombwa msamaha ataenda mahakamani? Hizi tabia za kukimbilia mahakamani zinawahusu CCM wote. Hujiulizi walipata wapi ujasiri wa kuwapeleka mahakamani akina Lwakatare, Kileo na makamanda wengine kwa mashitaka ya ugaidi huku wakijua ni mashitaka ya kutunga? Hiyo ni hulka tu ya CCM kuamini kwamba mahakama ni ya kwao hivyo itawatetea.

Sasa kama Kinana ana ubia na TOLL, na mkurugenzi wa TOLL kakamatwa na pembe za ndovu, kama Kinana anamiliki meli ambazo ndiyo zinaaminiwa kusafirishwa pembe za Ndovu, ni kwa vipi yeye asihusishwe? Kwanini hazijawa meli za watu wengine au bandari ya nchi kavu ya mtu mwingine? Naamini ataifuta tu hii kesi kabla hata haijafika pabaya, maana ushahidi wa mazingira tu unatosha kumtia hatiani.
Mbona Rostam alitishia kumshtaki Mengi kwa kumuita Fisadi papa lakini mpaka leo kesi haipo na Mengi hakuomba msamaha sijui huyu HAMY-D akili amepeleka wapi
 
Last edited by a moderator:
Mbona Rostam alitishia kumshtaki Mengi kwa kumuita Fisadi papa lakini mpaka leo kesi haipo na Mengi hakuomba msamaha sijui huyu HAMY-D akili amepeleka wapi

Mbona una kichwa kigumu wewe?

Sijasema Kinana anatishia kumpeleka Msigwa mahakamani, nimesema Msigwa kafunguliwa mashtaka rasmi na bwana Kinana mahakamani, sio kutishia.
 
Last edited by a moderator:
Mbona una kichwa kigumu wewe?

Sijasema Kinana anatishia kumpeleka Msigwa mahakamani, nimesema Msigwa kafunguliwa mashtaka rasmi na bwana Kinana mahakamani, sio kutishia.

Hebu jenga hoja kwa kutetea hoja yako

Kuhusu hoja ya kesi mahakamani
1. Unahakika Msigwa hana ushahidi?

2. Nimahakama zipi zimewahi kuthibitisha kwamba Msigwa ni Mropokaji na mara ngapi?

3. Vip kuhusu kukiri kwa msomali/kinana kwamba meli yake ilihusika na ubebaji meno ya tembo, sheria zinasemaje?

4. Vipi unasema msigwa atalipa fidia hukum ya hii kesi imeshasomwa? Kama bado hitimisho hilo unalipata wapi?
 
Back
Top Bottom