Kinana amburuza Msigwa kortini

Kinana amburuza Msigwa kortini

Kweli mkuu,

Hakuna gazeti lolote lililotoa hii taarifa, ila ukweli ni kwamba Kinana amefungua mashtaka dhidi ya Msigwa rasmi. Habari zaidi nitaendelea kuweka, na kama kuna mtu anaweza kuzileta pia itakuwa ni jambo jemba kwa maslahi ya wanaJF wote.

Hizo habari Kinana ameku PM wewe tu..!?
 
Hongera kwa kuanzisha thread HAMY-D ...

Tumpe hongera Kinana kwa kumfikisha mahakamani huyo mropokaji, kiukweli kwa kuropoka kwake kuhusu Kinana, hata chama changu kilichafuka sana.
 
Last edited by a moderator:
Kama kweli kinana ni mzalendo, natarajia aieleze mahakama mteja wake anaye mpa tenda za kusafirisha nyara za selikali likitokea hilo itakuwa ni hatua nzuri kuutokomeza ujangiri, big up to Msigwa.
 
nafikili post yako ingekuwa na mashiko kama ungesema sasa wakati wa kinana ku umbuka,nafikili unge eleweka zaidi kuliko kuleta uchuro huu....
 
Kweli mkuu,

Hakuna gazeti lolote lililotoa hii taarifa, ila ukweli ni kwamba Kinana amefungua mashtaka dhidi ya Msigwa rasmi. Habari zaidi nitaendelea kuweka, na kama kuna mtu anaweza kuzileta pia itakuwa ni jambo jemba kwa maslahi ya wanaJF wote.
Umeambiwa yule mzungu wa TOLL tayari keshakamatwa na ushahidi, na so far kamtaja Kinana kuhusika katika hii issue. Msigwa hajaomba radhi kwa kuwa ana ushahidi wa kutosha kuwa Kinana ni weka mbali na tembo.
 
Mkuu,

Kwa wanasheria wataelewa hapa, kuna hii ishu inaitwa defarmation, nadhani ndio litakuwa shitaka namba moja kwa mchungaji Msigwa, na utakumbuka kutokana na kashfa hiyo kuwa Kinana ni jangili, ili sababisha Kinana avunje makubaliana na partners wake na ili m-cost si chini ya milioni 300 pesa za Tanzania. Sasa unaweza kupata picha ya hiyo fidia atakayolipa Msigwa kwa Kinana.

Sio bure!yawezekana ukawa mwenza wa kinana
 
Si kosa lake jamani,so mie nadhani mh Kinana angemsamehe tuu.
Maana viroba wanavyokunywa vimewafanya kua mazezeta na walopokaji!
 
Umeambiwa yule mzungu wa TOLL tayari keshakamatwa na ushahidi, na so far kamtaja Kinana kuhusika katika hii issue. Msigwa hajaomba radhi kwa kuwa ana ushahidi wa kutosha kuwa Kinana ni weka mbali na tembo.

Mkuu, sidhani kama Kinana angukuwa na ujasiri wa kwenda mahakamani na kufungua mashtaka kwa Msigwa kama kweli angekuwa jangili au kujihusisha na vitendo hivyo kwa nama yoyote ile.
 
Si kosa lake jamani,so mie nadhani mh Kinana angemsamehe tuu.
Maana viroba wanavyokunywa vimewafanya kua mazezeta na walopokaji!

Mkuu, ni kweli Kinana alikuwa na lengo jema tu la kumsamehee na kumpuuza Msigwa, ila tatozo lilikuja pale Msigwa alipokuwa akijitapa kuwa Kinana ameogopa kwenda mahakamani kwa kuwa ni kweli ana jihusisha vitendo hivyo, ndio hapo sasa bwana Kinana akahamua kumchukulia hatua za kumfungulia mashtaka bwana Msigwa.
 
Mkuu, sidhani kama Kinana angukuwa na ujasiri wa kwenda mahakamani na kufungua mashtaka kwa Msigwa kama kweli angekuwa jangili au kujihusisha na vitendo hivyo kwa nama yoyote ile.
Sasa angefanyeje ilhali keshautangazia umma kwamba asipoombwa msamaha ataenda mahakamani? Hizi tabia za kukimbilia mahakamani zinawahusu CCM wote. Hujiulizi walipata wapi ujasiri wa kuwapeleka mahakamani akina Lwakatare, Kileo na makamanda wengine kwa mashitaka ya ugaidi huku wakijua ni mashitaka ya kutunga? Hiyo ni hulka tu ya CCM kuamini kwamba mahakama ni ya kwao hivyo itawatetea.

Sasa kama Kinana ana ubia na TOLL, na mkurugenzi wa TOLL kakamatwa na pembe za ndovu, kama Kinana anamiliki meli ambazo ndiyo zinaaminiwa kusafirishwa pembe za Ndovu, ni kwa vipi yeye asihusishwe? Kwanini hazijawa meli za watu wengine au bandari ya nchi kavu ya mtu mwingine? Naamini ataifuta tu hii kesi kabla hata haijafika pabaya, maana ushahidi wa mazingira tu unatosha kumtia hatiani.
 
Umeambiwa yule mzungu wa TOLL tayari keshakamatwa na ushahidi, na so far kamtaja Kinana kuhusika katika hii issue. Msigwa hajaomba radhi kwa kuwa ana ushahidi wa kutosha kuwa Kinana ni weka mbali na tembo.


Mkuu usiturushe roho. Hebu fafanua tafadhali.
 
Kwa hyo kama ameonekana mahakamani ni kwa sababu ya kinana? Hebu sema ni mahakama gani nifatilie data za tar 14, usijekuwa unatumikia tumbo hapa.
 
Mkuu, sidhani kama Kinana angukuwa na ujasiri wa kwenda mahakamani na kufungua mashtaka kwa Msigwa kama kweli angekuwa jangili au kujihusisha na vitendo hivyo kwa nama yoyote ile.

Kwa nini?
 
Umesema kweli kuwa "......sidhani............" Hii inamaanisha haujui kama ambavyo na huyo Kinana uliyekurupuka kumtetea asivyojua wenzake wana taarifa zipi. Sijui wewe kama mleta thread unataka kutuambia kitu gani ambacho wewe haujui ila unadhani tu.

Mkuu, sidhani kama Kinana angukuwa na ujasiri wa kwenda mahakamani na kufungua mashtaka kwa Msigwa kama kweli angekuwa jangili au kujihusisha na vitendo hivyo kwa nama yoyote ile.
 
Back
Top Bottom