Msigwa tabia ya kuropoka hajaanza leo ni kitambo tabia hii amekuwa nayo.
Kwahiyo? Nenda mahakamani- umbeya kutwa kucha
Msigwa tabia ya kuropoka hajaanza leo ni kitambo tabia hii amekuwa nayo.
Uko kiujumla sana jaribu kubainisha umelenga usafi gani wa mwili au kitabia kwangu mimi sijaona usafi wowote alionao mzee slaa.Inafahamika Dr W. P Slaa ni safi na makini.
Kama unaushahid kinyume chake peleka mahakamani sio kututapikia matapishi ya maneno na mipasho isiyo na vielelezo wala uShuhuda
Lini ameshawahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwa kusema maneno ya uongo?kama hili halijawahi kumtokea basi wewe ndiye mzushi uliyebobea na mropokaji usiyekuwa na haya!Msigwa tabia ya kuropoka hajaanza leo ni kitambo tabia hii amekuwa nayo.
Kama unataka kutumia hoja hiyo kumtia hatiani bwana Kinana basi nisewe umepotoka, mahakamani kesi haziamuriwi kwa kutumia ushahidi mwepesi hivyo.
Itakumbukwa kuwa Kinana ni shareholder wa hiyo kampuni ya Sharaf shipping, na ukiwa shareholder haimaanishi una husika na day to day operations za kampuni. Kampuni inakuwa na management na shareholder wapo kwa ajili ya ku-finance na ku-enjoy dividends, sasa iweje Kinana ahusishwe na ujangili au usafirishaji wa pembe za ndovu?, hapo wa kuhusishwa moja kwa moja ni watendaji wa kampuni ya Sharaf shipping na watu wa TRA.
Kuhusu mfano wako; pale Bilicanas kuna vijana uwa wanakamatwa na polisi kwa kubwia unga, je nikisema Mbowe ahusishwe na unga kwa kuwa yeye ni mmiliki wa bilicanas utanielewa?, ni sawa sawa na ndege inavyo wasafirisha "punda" au wabeba unga, huwezi kumuhusisha owner wa ndege kuwa yeye ana husika, ila utawahusisha wale wakaguzi wa airport, nadhani umeelewa mkuu.
Cheki ulivyo mshamba bavicha hata akili hamnazo...siyo UMBEYA ni UMBEA hili vipi.Kwahiyo? Nenda mahakamani- umbeya kutwa kucha
haya kachukue buku 7 yako.
Naomba sana mahakama itende haki na ikiwezekana hukumu iharakishwe, kwa maana Tanzania nzima inapaswa ielewe kuwa ndani ya CHADEMA hakuna wanasiasa bali kuna wazushi, magaidi na watekaji wa raia, haya yote wanayafanya wao na kisha wanaisingizia serikali kuwa ndio imefanya. Hii ina ingia akilini?
Kichwa chako mkuu ni sawa na nazi tu hakina kitu kabisa.Lini ameshawahi kushitakiwa na kuhukumiwa kwa kusema maneno ya uongo?kama hili halijawahi kumtokea basi wewe ndiye mzushi uliyebobea na mropokaji usiyekuwa na haya!
Huku ni kujadili upuuzi,badala uje na habari za uhakika kwamba Msigwa amefungiliwa kesi nambari kadhaa,yenye kumtaka afanye kadhaa, wewe unakuja na urojo eti Ulimwona Msigwa na Tundu mahakamani sii ujinga huu.
Anyway, usiwatoe kwenye mada za msingi watu. Kama zile za kusambaratika CCM Kagera, Aibu ya aina yake kwa Chama na yule jamaa yako kule Iramba jana, kuendelea kufichuka kwa uhusiano wa vigogo na biashara ya madawa/nyara za serikali.
Pia usisahau swali wanalojiuliza wengi,mbona biashara ya madawa na pembe imepamba moto sana kwa kipindi hiki baada ya Katibu Mkuu Mukama kuondolewa na tukielekea uchaguzi wa 2014/15? Jee hii biashara ini mbinu mpya ya kupata pesa za kuendesha kampeni baada ya zile mbinu za EPA kushtukiwa na Upinzani hasa CDM na kukomaa?
Mwisho wanajiuliza, kumrudisha mzee wa mikakati AK ulingoni licha ya yeye kutangaza kustaafu ni kwa vile yeye hizi biashara yeye ni Gwiji kama anavyotuhumiwa na WENGI(sio Msigwa pekee)?
Mkuu kwanini unataka kesi iharakishwe wakati kuna watu wengi mbaka leo hii hajapata haki zao kwa ajili ya msongamano wa kesi,au haki hiko zaidi kwa wanaCCM?Naomba sana mahakama itende haki na ikiwezekana hukumu iharakishwe, kwa maana Tanzania nzima inapaswa ielewe kuwa ndani ya CHADEMA hakuna wanasiasa bali kuna wazushi, magaidi na watekaji wa raia, haya yote wanayafanya wao na kisha wanaisingizia serikali kuwa ndio imefanya. Hii ina ingia akilini?
Hawajasahau ila wamempuuza, maana ukiongelea list of shame bila ya Dr Slaa kuwa ndani ya list basi hiyo inakuwa sio list of shame tena, maana ni nani asiyejua vitendo vya wizi alivyofanya Dr Slaa ndani ya CHADEMA (kuanzia ule wizi wa milioni 140 mpaka ule udanganyifu wa kwenda Israel na Ujerumani na mchumba wake kwa kutumia pesa za chama).
Naomba sana mahakama itende haki na ikiwezekana hukumu iharakishwe, kwa maana Tanzania nzima inapaswa ielewe kuwa ndani ya CHADEMA hakuna wanasiasa bali kuna wazushi, magaidi na watekaji wa raia, haya yote wanayafanya wao na kisha wanaisingizia serikali kuwa ndio imefanya. Hii ina ingia akilini?
Mkuu inawezekana hawa jamaa wakiandika thread ya kumchafua Dr Slaa huwa wanalipwa,huvyo huendelea kufanya hivyo ili wapate ujira wao wa siku bila kujali yalisemwa kwa Dr Slaa yana madhara gani kisiasa!Nikuulize kitu tafadhali HAMY-D. unapopiga ngumi ukuta nani anaumia. Kadri mnavyojaribu kumchafua Slaa ndivyo anavyoendelea kusikilizwa na kufuatwa kwenye mikutano. Kwanini msijiulize kama hizi slander kwa Slaa zina tija? au la. Mi naona kama hazina tija. You are NOT making a difference guys. kwa nini hamuoni?
Kweli mkuu,
Hakuna gazeti lolote lililotoa hii taarifa, ila ukweli ni kwamba Kinana amefungua mashtaka dhidi ya Msigwa rasmi. Habari zaidi nitaendelea kuweka, na kama kuna mtu anaweza kuzileta pia itakuwa ni jambo jemba kwa maslahi ya wanaJF wote.
Uko kiujumla sana jaribu kubainisha umelenga usafi gani wa mwili au kitabia kwangu mimi sijaona usafi wowote alionao mzee slaa.
Hivi kweli unatumia akili yako! Ninapata mashaka kidogo? Hivi ukiwa transporter gari yako ikikamatwa inasafirisha mali ya magendo ama wizi imekuwaje? Kwa nini kesi nyingine anakuta mwanasheria Mkuu anahusishwa? Huwezi kumiliki ama kuwa na hisa bila kujua chombo hicho kinafanyaje kazi. Yaani wewe ununue hisa tu lakini hujui utapataje gawio lako!
Kichwa chako mkuu ni sawa na nazi tu hakina kitu kabisa.