Ungewashauri na wale waliotajwa na Dr.Slaa, (ile list of shame),pale Temeke-Mwembeyanga nao waende mahakamani,maana kama wamesahau vile.
Hawajasahau ila wamempuuza, maana ukiongelea list of shame bila ya Dr Slaa kuwa ndani ya list basi hiyo inakuwa sio list of shame tena, maana ni nani asiyejua vitendo vya wizi alivyofanya Dr Slaa ndani ya CHADEMA (kuanzia ule wizi wa milioni 140 mpaka ule udanganyifu wa kwenda Israel na Ujerumani na mchumba wake kwa kutumia pesa za chama).