Hii itaokoa tembo tembo weyu.kinana ni haramia
Itajulikana Mbele ya safari, kwa hili Msigwa km alikuwa anapiga porojo itakula kwake
Hii itaokoa tembo tembo weyu.kinana ni haramia
kinana inabidi awe muwazi atueleze kinagaubaga TABIA MBAYA aliyoambukizwa au kufundishwa na msigwa.[SIZE=4
Kinana anadai kuwa kutokana na tuhuma hizo ameharibiwa tabia yake"
[/SIZE]
HabariLeo
wewe toka tu huku hapakufai twende cckinana ni jangili la kufa mtu.......................
Kinana asikimbilie mahakamani, badala yake akafanye yafuatayo kujisafisha mwenyewe;
- aende msikitini akatubu
- apande jukwaani akatubu kwa watanzania
- aende mbele ya tembo akatubu, na kuwahakikishia kuwa hatakuwa jangili tena.
hapo waanze na finger print
Safi sana comrade kinana wamezoea uzushi na uongo ila sasa naona wamepata muarobaini wao
Kweli haya usemayo tena uluyoyaacha ndio mengi mno! Maccm ni zaidi ya ukoo, ni KABILA lote la maccm ndivyo walivyo! KichefuchefuAliyasema kwenye kampeni za udiwani kata ya Kimandolu huko Arusha.
Na ukiangalia jinsi jamaa wanavyopiga dili kuanzia kuweka cha juu kwenye mradi wa bomba la gesi hadi ile ishu ya mtoto wa kwanza (First Son) kukamatwa na mzigo kule China na balozi kule kuondolewa na kuwekwa mtu wetu na ishu ya TEMBO wa Kinana unaamini bila mashaka haya maneno ya Nasari
Wote tungekuwa machachari kama watu wa Ntwara asingesubutu kutufungulia kesi wenyewe tena!Kwa Nini USIIPELEKE HIYO KESI SOMALIA unakuja kuifungulia kwetu??? Au kwa vile tembo ni wa kwetu??
Naomba majibu KINENA.
Unataka kuniambia huyu "jino tembo"ana mradi wa kilimo rahisi cha mbogamboga ambacho kinge mwingizia hela zote hizo ,inamaana ameshindwa yeye na serikali yake kuwaelekeza mradi kama huo wananchi hasa jimboni kwake wawe na mradi kama hu ili kujinasua na umaskini?siamini ninachokiona wajameni yaani wanathubutu kuwanyima fursa wananchi hivi hivi?eemameh!ha ha ha mimi naona kinana hapo ndo amechemka kwa sababu nacho jua jopo la mawakili nguri wa chadema watakuja na ushahidi wa kufa mtu...na kufumua mengi juu ya huyu katibu mkuu wa ccm alafu kitu kingine kumbe alikuwa na mchakato wa kuingiza wazungu wengine tena nchini kulima mboga? nacho waomba chadema na msigwa muda ndo huu wa kuisambaratisha ccm na katibu wake na mengi yawekwe hadhalani ili watanzania tujue huu wizi unafanyweje....
Ungejua kitakachompata usinge kunya kauli hii!Safi sana comrade kinana wamezoea uzushi na uongo ila sasa naona wamepata muarobaini wao
Hahahaaahahaaaaeeeeeeeee! Mbavu zangu! We mtu huna huruma na mbavu zangu Lo! Hahaaaahhaaaahhaaahhhaaaaaaaaeeeeeee!!astaghafillullahraadhim.. kumbe hili jangili na kuhiji limehiji??? limejaa dhambi tupu...
haya majitu ndo yanafanya watu watuone waislam kama si watu wema.. jamani nimesikitika jangili nae kuwa alhaji.
chonde ahukumiwe kwa ujangili wake na si ulhaji wake
Peleka mahakamani huyu mchungaji kanjanja.