Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,199
Huyu jangili Al-Shaababu naye bana!!!!!!!!!!
Safi Kinana katafute haki mahakamani. Ndugu zetu hawajui kuwa sheria ni msumeno unakata pande zote wao wakishindwa basi wameonewa wakishinda haki imetendeka mh ni binadamu wa ajabu kweli.
Peleka mahakamani huyu mchungaji kanjanja.
Kwa kweli mi nitaomba ufafanuzi wa hili la tabia hadi kieleweke...
Kwanza ni tabia zipi zimeharibika kwa sasa...
"kinana nionee huruma unatumaliza" ni kama alikuwa akiomba msamaha huyo tembo kwa kupiga magoti.....hakika damu za tembo hawa hazitamuacha jangili kinana na masisiem yake!!!Time will tell.....
mbunge anapotoa kauri bungeni,kauri hiyo kisheria haihojiwi mahakamani,labda tu kama ameshitakiwa kwa kusema nje ya bunge
![]()
Nadhani huyu jamaa punde si punde atajitokeza kutoa tamko kuwa chadema inahujumiwa. hajui kuwa mwanasiasa mjinga huponzwa na mdomo wake
Mkuu mauaji ya Tembo sio SIASA, kama mtu anaua Tembo kwa kushirikiana na mtandao wake na serikali haitaki hata KUCHUNGUZA KAMA TUHUMA ZINA UKWELI basi ujue hiyo serikali inanifaika na huo uharamiaDuh
Siasa at its peak.
CCM vs CHADEMA. Mpambano mkali ila historia inasemaje wanapokutanika mafahari hawa wawili?
Tehe tehe
Kesi imesha funguliwa baada ya makubaliano ya kikao cha viongozi waandamizi wa ccm ili kudhibiti kashfa inayotishia hadhi ya chama na katibu mkuu wake.Na mtashangazwa namaelekezo ya matokeo ya hii kesi ...