kunguru ni mawakili au nani mkuu!? 🙂))Vita ya panzi
Nimekukubali bure kwa mchango wako huuKinana hawezi kukwepa yeye sio jangili, Ni jangili tena la kimataifa tena Msigwa alisahau kuongezea kinana pia ni Haramia
Alhaji Kinana ni Mwizi/Jangili na ni Haramia
Safi sana comrade kinana wamezoea uzushi na uongo ila sasa naona wamepata muarobaini wao
Peleka mahakamani huyu mchungaji kanjanja.
Peleka mahakamani huyu mchungaji kanjanja.
Eti kujuta hujui ulisemalo ww, naona una ushabiki wa bila kufikiria...Nipe case hata moja waliyowahi kufunguliwa chadema wakashindwa, au kujuta km unavyosema...Wewe mtu wa nchi gani usiyeamn hata kwa kuona...!!!!!????Well done kinana,
Hizi sifa za "kitoto" za hawa wabunge wetu lazima ziwatokee puani.
Kinana ni mtu makini sana na kwa muda aliotafakari na wanasheria wake lazima MCHUNGAJI wa chadema atajuta.
Tafadhal mzee kinana, kuwa na Huruma maana naona umekusudia kulamba kiinua mgongo chake cha bunge, mil 350 atazinyea wapi hasa ukizingatia Mwakalebela atapewa ubunge wake ulioahirishwa kwa makosa ya kisiasa hapo 2015!
Poor Msigwa
hapo waanze na finger printMi nildhani ungeanza na kuishauri serikali yako DHAIFU kumchunguza Kinana....
View attachment 97518
Kinana Strikes Again