Kinana amburuza Msigwa kortini

Kinana amburuza Msigwa kortini

Nitachomtahadharisha Msigwa asisikilize kelele za mashabiki kwani msaala huu ni wake binafsi.

Hizi chocheo ni sawa na mashabiki walijazana kwenye lori wakichagiza dereva kuchochea mwendo hali akipata ajali au kushikwa na traffic msaala ni wake dereva peke yake.

Kwa hili jipange vya kutosha na litakuumiza na wewe kisaikolojia sisi wapiga jalamba hatutakuwa nawe sheria ikikubana
 
Naisubiri kwa hamu hii kesi na uzuri wake ni kwamba ni kesi ya madai
 
mimi ninashindwa kuwaelewa watanzania, juzi hapa mlikuwa mnasema kinana ameogopa kwenda mahakamani, kisa kuna ushahidi wa kutosha, sasa ameenda mahakamani mnalalamika tena, mara hoo kuna jopo la mawakili wa chadema wa kutosha, ameenda mahakamani nadhani hili tulifurahie coz km Msigwa alishindwa kwenda kushtakii ni vizuri amahenda yey tujue mbichi na mbivu,
 
mbunge anapotoa kauri bungeni,kauri hiyo kisheria haihojiwi mahakamani,labda tu kama ameshitakiwa kwa kusema nje ya bunge

Una uhakina na unachokiongea? kwahiyo wabunge wana haki ya kuwadhalilisha raia wao wawapo bungeni? kasome vyema katiba mkuu.
 
Kuna siku mwaka 2012 nilisikiliza redio moja ikiwahoji watu fulani na mwisho mmoja akaombwa atoe maoni kwa serikali, yule jamaa ni mtu mzima akasema "Namwombe Bw. Rais wetu Julius Kambarage Nyerere na Waziri wetu Mkuu Bw. Rashid Kawawa watuongezee majosho huku vijijini ili kuimarisha afya ya mifugo yetu"

Just imagine hadi leo watu wanaamini Rais ni Mwl Julius Nyerere na Waziri Mkuu ni Mh Rashid Kawawa.
Huyu Kinana bado anadhani Majaji wanaisshadadia CCM na watu wake kama zamani. Tusubiri tusikilize muziki huu!!!
 
Hii ni vita kati ya masikini na Tajiri and i blv mch msigwa atashinda kesi hii kama mahakama haitaingiliwa,kikubwa tusaidie kwa yoyote mwenye ushahidi japo msigwa anao wakutosha ila kama kuna wa ziada basi tumpe ushirikiano ili tupunguze majangiri nchini
 
Bora hiyo kesi iungurume niujue ukweli wa mambo, no alignment
 
Nitachomtahadharisha Msigwa asisikilize kelele za mashabiki kwani msaala huu ni wake binafsi.

Hizi chocheo ni sawa na mashabiki walijazana kwenye lori wakichagiza dereva kuchochea mwendo hali akipata ajali au kushikwa na traffic msaala ni wake dereva peke yake.

Kwa hili jipange vya kutosha na litakuumiza na wewe kisaikolojia sisi wapiga jalamba hatutakuwa nawe sheria ikikubana

Kama kifaurongo vile! Kinana wako ndo anaenda kujikaanga zaidi mwisho kuangukia kope. Bigup Pastor Msigwa.... Masheik wangu mpo wapi? Haka ni kavita ka kiroho meen
 
Kinana ni jangili la kufa mtu.......................
Kinana asikimbilie mahakamani, badala yake akafanye yafuatayo kujisafisha mwenyewe;
  1. aende msikitini akatubu
  2. apande jukwaani akatubu kwa watanzania
  3. aende mbele ya tembo akatubu, na kuwahakikishia kuwa hatakuwa jangili tena.
 
kilimo cha mboga na mwekezaji kutoka kampuni ya nje, lakini tuhuma hizo zimesababisha kampuni hiyo kuvunja majadiliano hayo.
Huyu msomali anatakiwa akamatwe yani TEMBO anawaita MBOGO? kwanza atupe hiyo company profile yake! million350?
 
Kinana ni jangili la kufa mtu.......................
Kinana asikimbilie mahakamani, badala yake akafanye yafuatayo kujisafisha mwenyewe;
  1. aende msikitini akatubu
  2. apande jukwaani akatubu kwa watanzania
  3. aende mbele ya tembo akatubu, na kuwahakikishia kuwa hatakuwa jangili tena.
  1. Mkuu afanye hii namba3 ndio muhimu, ana laana ya Tembo.



 
Hapo kilichofanyika ni kuweka zuio la Msingwa asiendelee kumsema Kinana hadharani wakati tukielekea 2015. Kesi hiyo haitafanyika hadi uchaguzi mkuu upite. Kama Msigwa atawekewa zuio hilo na mahakama itafutwe njia nyingine ya kuifahamisha jamii madhara yanayofanywa na Kinana dhidi ya tembo wetu na kwamba watoto hawa wanaozaliwa sasa hivi waambulia kuwaona tembo kwenye picha tuu maana Kinana &co watakuwa wamewafanya tembo kuwa historia. ImageUploadedByJamiiForums1371190636.535912.jpg
 
Back
Top Bottom