Well done kinana,
Hizi sifa za "kitoto" za hawa wabunge wetu lazima ziwatokee puani.
Kinana ni mtu makini sana na kwa muda aliotafakari na wanasheria wake lazima MCHUNGAJI wa chadema atajuta.
Finger Print pamoja na Footprints....
Huyu Kinana hatoki mwaka huu, tutampeleka mahakama ya Afrika Mashariki kama maCCM hayataki kumpeleka mahakamani kwa udhalimu wake na wasomali wenzie kwenye Tembo
Nimeipenda signature yako mkuu. Aliyasema wapi haya maneno ya busara nae Mh. Nasari?
"''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari"
Well done kinana,
Hizi sifa za "kitoto" za hawa wabunge wetu lazima ziwatokee puani.
Kinana ni mtu makini sana na kwa muda aliotafakari na wanasheria wake lazima MCHUNGAJI wa chadema atajuta.
Da! umenifurahisha tena na signature yako "''CCM ni sawa na UKOO WA PANYA, baba Mwizi, Mama Mwizi, Mtoto Mwizi, Kaka Mwizi, Dada Mwizi, Babu Mwizi, Bibi Mwizi, Shemeji Mwizi, Mkwe Mwizi'' By Joshua Nassari"Mkuu mauaji ya Tembo sio SIASA, kama mtu anaua Tembo kwa kushirikiana na mtandao wake na serikali haitaki hata KUCHUNGUZA KAMA TUHUMA ZINA UKWELI basi ujue hiyo serikali inanifaika na huo uharamia
Alhaji Kinana ni Mwizi/Jangili na ni Haramia
Na nyinyi kwa kurukia mambo na kuhitimisha, ni wapi amesema wazungu? Kwa nini wasiwe wachina? Ebu tulizaneni msirukie habari na kuzihitimisha mnavyowaza.ha ha ha mimi naona kinana hapo ndo amechemka kwa sababu nacho jua jopo la mawakili nguri wa chadema watakuja na ushahidi wa kufa mtu...na kufumua mengi juu ya huyu katibu mkuu wa ccm alafu kitu kingine kumbe alikuwa na mchakato wa kuingiza wazungu wengine tena nchini kulima mboga? nacho waomba chadema na msigwa muda ndo huu wa kuisambaratisha ccm na katibu wake na mengi yawekwe hadhalani ili watanzania tujue huu wizi unafanyweje....
Hasa! Ndiyo hiyo ya kuzungumzia nje ya Bunge. Ingekuwa ni ile hotuba yake aliyoitoa Bungeni, Kinana angemezea tu.mbunge anapotoa kauri bungeni,kauri hiyo kisheria haihojiwi mahakamani,labda tu kama ameshitakiwa kwa kusema nje ya bunge
Harufu ya bangi kaliiiii!