Kinachotokea kwenye mikutano mkuu wa mkoa Arusha kitufungue macho!

Mparee2

JF-Expert Member
Sep 2, 2012
2,634
4,381
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata viongozi wa juu wanashangazwa na uozo uliopo huku chini

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au kuzifikisha kwenye mamlaka ya juu kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawajibishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti.

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila mkoa kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi/maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawajibishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao

Kwani hakuna Mahakama?
Kwa nini ushauri usingelenga kuiambia serikali iimarishe mahakama zetu ili haki zipatikane? Kwa sababu mahakama ndio chombo mahususi kwa ishu za namna hiyo.

Ushahidi unaotolewa nje ya mahakama unathibitishwaje kuwa NI kwèli au sio kweli?

Unajua hata Yesu alihukumiwa kwa namna hiyo?
 
Kwani hakuna Mahakama?
Kwa nini ushauri usingelenga kuiambia serikali iimarishe mahakama zetu ili haki zipatikane? Kwa sababu mahakama ndio chombo mahususi kwa ishu za namna hiyo.

Ushahidi unaotolewa nje ya mahakama unathibitishwaje kuwa NI kwèli au sio kweli?

Unajua hata Yesu alihukumiwa kwa namna hiyo?
Huko ni kwenda kupoteza muda tu,halafu kumekithiri kwa rushwa wacha tu bashite ndio awe mahakama
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti.

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila mkoa kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi/maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawajibishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Nurdin babu amelala usingizi.
Anasubiri kwenda ATM mwisho wa mwezi
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti.

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila mkoa kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi/maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawajibishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
wakuu wa wilaya itapendeza Zaidi🐒
 
Huko ni kwenda kupoteza muda tu,halafu kumekithiri kwa rushwa wacha tu bashite ndio awe mahakama
Mahakama zetu zimejaa rushwa hivyo wananchi wanyonge hawapati haki zao toka mahakamani! Hilo ombwe ndio linazibwa na wakina Makonda!!
The chief Justice and the whole judiciary should be ashamed of their shameful conduct.
 
Huyu hafai kabisa sijui hata hicho cheo alipata je!! Pengine kwa kuwa chawa wa kupongeza malikia!
Huyu ni mkuu wa mkoa wa ajabu,kuwahi kutokea. Hajawahi kufika kata yeyote ndani ya mkoa huo.

Hajawahi kufanya ziara wilaya hata Moja za mkoa huo.
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti.

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila mkoa kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi/maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawajibishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
KABISA
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti.

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila mkoa kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi/maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawajibishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Kinacho endelea Arusha ni sio jambo geni ni matokeo ya mifumo ya ccm.
Hakuna idara, wizara, mamlaka, wilaya,halmashauri, tume, shirika, taasisi nk nk zinazojiendesha kwa ufanisi.
Kuna watu wana historia ya utendaji mbovu na bado wako kwenye nafasi zao, kuhamishwa kituo cha kazi ndio adhabu yao.

HUKU WANACHI WANAKUSANYIKA KUTAFUTA USAIDIZI KWA MKUU WA MKOA.,
HUKU WATENDAJI WANASIFU NA KUPONGEZA MAMA HIVI, MAMA VILE!
 
Kwani hakuna Mahakama?
Kwa nini ushauri usingelenga kuiambia serikali iimarishe mahakama zetu ili haki zipatikane? Kwa sababu mahakama ndio chombo mahususi kwa ishu za namna hiyo.

Ushahidi unaotolewa nje ya mahakama unathibitishwaje kuwa NI kwèli au sio kweli?

Unajua hata Yesu alihukumiwa kwa namna hiyo?
kwani kero zilizotolewa ni za kisheria/Mahakama tu?
hakukuwa na kero ya sekta nyingine?
 
Makonda alistahili awe Mkuu wa wakuu wa mikoa Tanzania kama hicho cheo kingekuwepo.

Viongozi wengne wanabaki kumuonea donge tu badala na wao waige.
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata viongozi wa juu wanashangazwa na uozo uliopo huku chini

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawabishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Ukweli upo, ni vigumu sn kusema. Ni rais yupi ataelewa haya bila ushauri wa kishabiki . Watu wananyanyaswa ndio ukwl
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata viongozi wa juu wanashangazwa na uozo uliopo huku chini

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawabishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Ni taahira peke yake anayeamini yale maigizo.
 
Kinachotokea kwenye mikutano ya mkuu wa Mkoa wa Arusha kimeonesha kuwa, wananchi wengi wanateseka sana kwa kukosa haki zao kutokana na watendaji wabovu wa nafasi tofauti tofauti. Nafikiri hata viongozi wa juu wanashangazwa na uozo uliopo huku chini

Ikimpendeza Muheshimiwa Waziri Mkuu atoe TAMKO kuwa, mikutano ya kusikiliza Kero za wananchi ikiongozwa na wakuu wa Mikoa au Wakuu wa Wilaya chini ya uangalizi wa wakuu wa Mikoa ifanyike nchi nzima kwa kila Wilaya kujitengea walau siku tatu kwa kila mwezi kupokea Kero za wananchi na kuzitatua au kuzitolea ufafanuzi au maelekezo kwani hali sio shwari.

Watendaji watakao onekana kuwa mwiba kwa wananchi, wawabishwe na mamlaka iliyo waajiri kwani ushahidi unakuwa waziwazi kutokea kwa wananchi waliokosa haki zao
Hii yote kinatakiwa ni katiba mpya na kuondoa gugu maji CCM.
 
Kwani hakuna Mahakama?
Kwa nini ushauri usingelenga kuiambia serikali iimarishe mahakama zetu ili haki zipatikane? Kwa sababu mahakama ndio chombo mahususi kwa ishu za namna hiyo.

Ushahidi unaotolewa nje ya mahakama unathibitishwaje kuwa NI kwèli au sio kweli?

Unajua hata Yesu alihukumiwa kwa namna hiyo?
Watanzania wengi ni mataahira.... imagine taahira kama huyo anakamata akili zao....Nyerere aliiharibu sana hii nchi!!
 
Back
Top Bottom