ngosha_the_best
Member
- Nov 28, 2014
- 53
- 7
huna hela weye ndo maana unabaniwa na utaendelea kula kwa macho wajanja wanagonga kote kote!
Hihihihihihi
huna hela weye ndo maana unabaniwa na utaendelea kula kwa macho wajanja wanagonga kote kote!
He, kumbe Simiyu Yetu ni mtoto wa kike? U should have known it before...!Chief Hayajakukuta Wewe
Nazani Nawe Una Tabia Kama Za Huyu Boya
Nakutahadharisha Siku Yako Inakaribia
Hii sio haki kabisa.
Kwangu anabana. Eti mpaka ndoa.
Kumbe kuna boya linakula wakati mimi nawekewa vimulimuli.
Yaani unaweza ukaua mtu hivihivi na usijutie Lolote.
Chief! So Unanishauri Nimuache Bure ?
Noo....Hilo Halitafanyika Kamwe
Lazima Tushee Haya Maumivu
Hahahahaha.....pole mtoa mada wadada wengine washenzi aisee mi nadhani labda we hakupendi na hana future na wewe vinginevyo asingekunyima af akagawe kwingine
Pole sana. Narudia tena hakuna haja ya kulipa kisasa. Miss chaga njoo huku my dear; Kaka Majigo ameumizwa au uko safarini kuhesabiwa nini.Chief Eli79.... Hela Ya Kumhandle Nnayo
Mission Nyingi Nimemsapot
Nashindwa Kuelewa Nini Kinamsumbua Huyu Kiumbe
Amenifanyia Unyama Wa Karne
Nami Lazima Nimfungie Kazi
Ahsante Sana Chief
Hii sio haki kabisa.
Kwangu anabana. Eti mpaka ndoa.
Kumbe kuna boya linakula wakati mimi nawekewa vimulimuli.
Yaani unaweza ukaua mtu hivihivi na usijutie Lolote.
Sasa Hapo Nimempaisha Au Kumshusha!!?
Nikitoka Na Dadake Atafurahi Kupata Shem Wa Kuoa
Huyu Ni KumTafutia Sniper Mashine Tu!
Punguza munkari dogo. Michuchu kibao imejaa kitaa inataka kuolewa. Piga chini hiyo Fiat 682N3 kamata Iveco uchape mwendo.
Yah! Hilo Ndo Linalofata ...Ila Nataka Nimuachie Sign Ili Hasicheze Tena Na Akili Za Watu Ka MimiHii kitu ipo sana, we ukishasanuka chapa lapa arifu la sivyo utajakuwa mtumwa wa mapenzi vivi hivi
Punguza munkari dogo. Michuchu kibao imejaa kitaa inataka kuolewa. Piga chini hiyo Fiat 682N3 kamata Iveco uchape mwendo.
kwan yeye ni nan mpaka unataka kulipiza?ni mzur kias gan? mm ningekuwa wew ningechukua dem
mkali nikamuweka standard akaishia kukutolea udenda thats all. be
gentle jiamin
demu ukimletea ntakuoa ntakuoa ndio anavokufanyia. Cha muhimu ni kumueleza tu kama tumekubali kuvaa jezi kwa nini tusicheze mpira
Endwlea kuvumilia tu na wanawake hawa tuone kama hutokujalia sikunya ndoa
Hii sio haki kabisa.
Kwangu anabana. Eti mpaka ndoa.
Kumbe kuna boya linakula wakati mimi nawekewa vimulimuli.
Yaani unaweza ukaua mtu hivihivi na usijutie Lolote.
ha ha ha Majigo once again...
una bahati mbaya na madem, mara unyimwe mara pedeshee akugongee ha ha ha