Kinachoniuma si kunicheat, bali kumpa kile unachoninyima mimi

Kinachoniuma si kunicheat, bali kumpa kile unachoninyima mimi

Sio utani inauma sana. Na hyo ndio tabia ya wanawake wengi,,,
ukiona mwanamke wa hivyo haina haja ya kuweka kambi hapo.
Hapo na ww ni kumfariji tu kuwa utamuoa ikibidi peleka hata posa kwao lakn wakat huku ww ukitafuta mke mwingne wa kuishi naye. Siku ya siku anashtukia mwenziye yuko ndani. Unamwambia tu nilichoka kukaa na ugwadu wakat wenzangu wanapewa bure tena bila mashart

Vizur Sana Chief, Ila Kwa Huyu Shetani; Sihitajiki Kuzunguka Kote Huko
Just Short Cut
Stay Tune Chief
Hawa Viumbe Dawa Yao Ndogo
 
Wala asikupe presha, hicho ni kipimo tosha kuwa hawezi kuishi na wewe. Kama mlikaa mkapanga kutofanya mapenzi kabla ya ndoa au yeye ndo alisema hataki kufanya Mapenzi, then huyu huyu anakuzunguka..hafai hata kidogo. Hao wanaosema huna pesa wala wasikuumize kichwa, ni wangapi hapa Tz wana hizo pesa zinazosemwa? Mbona kila j'mosi, j'pili na ijumaa watu wanaoana...!

Chief Eli79.... Hela Ya Kumhandle Nnayo
Mission Nyingi Nimemsapot
Nashindwa Kuelewa Nini Kinamsumbua Huyu Kiumbe
Amenifanyia Unyama Wa Karne
Nami Lazima Nimfungie Kazi
Ahsante Sana Chief
 
Last edited by a moderator:
mmmm just like that? uue kisa? achana nae kwa ulizaliwa nae??? ua sasa uone kama segerea panakuogopa

Chief! So Unanishauri Nimuache Bure ?
Noo....Hilo Halitafanyika Kamwe
Lazima Tushee Haya Maumivu
 
Kirahisi rahisi tu wakati ashakula vyangu bora kuua nakubaliana na mtoa mada

Chief Wewe Ndo Umeongea Cha Maana
Nimegundua Maana Ya Kuundwa Mashine Za Kazi
Kumbe Kwa Ajili Ya Watu Kama Hawa!!?
Jamani Zile Sniper Mashine Naweza Pata Wapi Hapa Tz?
Kwa Pesa Yoyote ,Siwezi Kosa Pesa Ya Kugharamia Hii Kitu !
 
Hii kitu ipo sana, we ukishasanuka chapa lapa arifu la sivyo utajakuwa mtumwa wa mapenzi vivi hivi
 
Chief!
So Unanishauri Nimuache Bure ?
Noo....Hilo Halitafanyika Kamwe
Lazima Tushee Haya Maumivu

kwan yeye ni nan mpaka unataka kulipiza?ni mzur kias gan? mm ningekuwa wew ningechukua dem
mkali nikamuweka standard akaishia kukutolea udenda thats all. be
gentle jiamin
 
Mi unanipa kiduchu mpaka tufunge ndoa wakati huyo msukuma unampa yote.

Inauma sana jamani jamani jamani.

Na wewe tukifunga ndoa ntakupa yote af msukuma ntakuwa nampa kiduchu
 
Endwlea kuvumilia tu na wanawake hawa tuone kama hutokujalia sikunya ndoa
 
ha ha ha Majigo once again...
una bahati mbaya na madem, mara unyimwe mara pedeshee akugongee ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Chief Wewe Ndo Umeongea Cha Maana
Nimegundua Maana Ya Kuundwa Mashine Za Kazi
Kumbe Kwa Ajili Ya Watu Kama Hawa!!?
Jamani Zile Sniper Mashine Naweza Pata Wapi Hapa Tz?
Kwa Pesa Yoyote ,Siwezi Kosa Pesa Ya Kugharamia Hii Kitu !

iyo ya kununua sniper masine nikopeshe nitakurudia na faida
 
Chief Wewe Ndo Umeongea Cha Maana
Nimegundua Maana Ya Kuundwa Mashine Za Kazi
Kumbe Kwa Ajili Ya Watu Kama Hawa!!?
Jamani Zile Sniper Mashine Naweza Pata Wapi Hapa Tz?
Kwa Pesa Yoyote ,Siwezi Kosa Pesa Ya Kugharamia Hii Kitu !
Da nasikia harufu ya Damu!!!, Dogo usiende lesi, kwani ulimfumania? Au ni hisia zako tu?
 
Mkuu hawa wanawake wakati mwingine ni kupiga kimeno tu , yaani hao sometime tumia mbinu za kimafia.
 
Back
Top Bottom