Hii Sio Haki Kabisa
Kwangu Anabana....Eti Mpaka Ndoa ...Kumbe Kuna Boya Linakula Wakati Mimi Nawekewa Vimulimuli
Yaan Unaweza Ukaua Mtu Hivihivi Na Husijutie Lolote
huna hela weye ndo maana unabaniwa na utaendelea kula kwa macho wajanja wanagonga kote kote!
Wala asikupe presha, hicho ni kipimo tosha kuwa hawezi kuishi na wewe. Kama mlikaa mkapanga kutofanya mapenzi kabla ya ndoa au yeye ndo alisema hataki kufanya Mapenzi, then huyu huyu anakuzunguka..hafai hata kidogo. Hao wanaosema huna pesa wala wasikuumize kichwa, ni wangapi hapa Tz wana hizo pesa zinazosemwa? Mbona kila j'mosi, j'pili na ijumaa watu wanaoana...!Acha Waoe Wao
Maana Ndoa Ni Teule Kwa Wenye Hela
kwani Kuwa Na Hela Kuna Kipimo Gani
Unakuta Mimi Ndo Nahudumia Pakubwa KuzidI Huyu Boya Mla Kote Kote
Hii Sio Haki Kabisa
Kwangu Anabana....Eti Mpaka Ndoa ...Kumbe Kuna Boya Linakula Wakati Mimi Nawekewa Vimulimuli
Yaan Unaweza Ukaua Mtu Hivihivi Na Husijutie Lolote
mmmm just like that? uue kisa? achana nae kwa ulizaliwa nae??? ua sasa uone kama segerea panakuogopa
huna hela weye ndo maana unabaniwa na utaendelea kula kwa macho wajanja wanagonga kote kote!
Boya yeye au wewe? wabongo kwa kujifariji! unakaa na wife kibarazani anapita jirani na gari wife anakwambia baba flani jirani kanunua gari wewe unarahisisha "majizi hayo usiyaone hivyo.