Dah mkuu kama kuan kontena pembeni lazima kushikwa na tumbo lakuharisha.Kwa kuongezea hapo, ukiwa kwenye foleni pembeni yako kuna gari kubwa lina kontena linaloyumba yumba, mbele yako kuna gari la taka, nyuma yako kuna gari la maji machafu kifuniko chake hakifungi vizuri maji machafu yanamwagika kidogo kidogo.
UchafuFoleni.
Umeme.
Maji.
Giza.
Mtandao slow/gharama.
Lindi na Mtwara nadhani hawajui habari za mgao!Hivi kuna mkoa hakuna mgao hapa Tanzania? au mgao wao ni wataarifa?
Hivi kuna mkoa hakuna mgao hapa Tanzania? au mgao wao ni wataarifa?
Kwa kuongezea hapo, ukiwa kwenye foleni pembeni yako kuna gari kubwa lina kontena linaloyumba yumba, mbele yako kuna gari la taka, nyuma yako kuna gari la maji machafu kifuniko chake hakifungi vizuri maji machafu yanamwagika kidogo kidogo.
Mambo yanayonikera nikiwa jijini D'Salaam ni mengi, lakini yaliyozidi ni haya:
1.Kivutio maarufu kwa wageni na wenyeji- Foleni
2.Mgawo wa umeme usiokuwa na taarfa.
*Mengine sisemi................
Lindi na Mtwara nadhani hawajui habari za mgao!
Hakuna UROJO, SUPU YA PWEZA ,NGISI,HALUA YA MKEBE, CHAZA SHELI SHELI,SHOKISHOKI kwenda beach ujipange wakati huku zenji hata viatu hatuvai unachukua taulo yako huyooo unapiga makachu tuu AARGH!Mambo yanayonikera nikiwa jijini D'Salaam ni mengi, lakini yaliyozidi ni haya:
1.Kivutio maarufu kwa wageni na wenyeji- Foleni
2.Mgawo wa umeme usiokuwa na taarfa.
*Mengine sisemi................
Nipe mji mwingine,hapo no.Kilichokutoa kwenu kidugalo ni nini?
We mpwani ikweli.Hakuna UROJO, SUPU YA PWEZA ,NGISI,HALUA YA MKEBE, CHAZA SHELI SHELI,SHOKISHOKI kwenda beach ujipange wakati huku zenji hata viatu hatuvai unachukua taulo yako huyooo unapiga makachu tuu AARGH!
Siku zote utakaa uzunguni tu?Ila jamani kuna mitaa imetulia nyie. Mingine haina taabu. Ipo uzunguni.