Kinachonikera nikiwa jijini Dar

Mambo yanayonikera nikiwa jijini D'Salaam ni mengi, lakini yaliyozidi ni haya:
1.Kivutio maarufu kwa wageni na wenyeji- Foleni
2.Mgawo wa umeme usiokuwa na taarfa.

*Mengine sisemi................

folen c kero tena,ni kivutio cha utalii,labda useme vibaker
 
Uchafu
Mji hauna mpangilio.

Niongeze hakuna sidewalks/sehemu za kupita kwa miguu kwa ujumla, mjini sidewalk zimegeuka parking na kila mtu anajenga anavyotaka yeye ukitembea mara unapanda ngazi mara unashuka, mara unakwepa mashino/mabango/minyororo/maua yaani kama yale mazoezi ya jeshini!
 
  • Uchafu uliokithiri katika kona nyingi za jiji
  • Madereva wengi wasiofuata sheria za barabara wakiongozwa na wale wa dalalala
  • Askari wa usalama ambao mara nyingi hawafanyi kazi zao bali kutafuta rushwa tu
  • Mgao wa umeme
  • Ukosefu wa maji n.k.
 
Niongeze hakuna sidewalks/sehemu za kupita kwa miguu kwa ujumla, mjini sidewalk zimegeuka parking na kila mtu anajenga anavyotaka yeye ukitembea mara unapanda ngazi mara unashuka, mara unakwepa mashino/mabango/minyororo/maua yaani kama yale mazoezi ya jeshini!
Hili mkuu neno.
 
dar inaboa sana
Taja kinachoboa dar............
1. Madereva wa daladala...........
2. Matrafiki wala rushwa.............hasa pale keko karibu sollatek
3. Mapolisi wala rushwa uwanja wa taifa............
4. Mbreaki down yananiboa yavyochubua rangi za magari ya watu.............. Aaaaaaaaaaaaaaafffffffffuuuuuuuuuuuu kwa nini kituo cha kupaki breakdown ni polisi...????
 
Taja kinachoboa dar............
1. Madereva wa daladala...........
2. Matrafiki wala rushwa.............hasa pale keko karibu sollatek
3. Mapolisi wala rushwa uwanja wa taifa............
4. Mbreaki down yananiboa yavyochubua rangi za magari ya watu.............. Aaaaaaaaaaaaaaafffffffffuuuuuuuuuuuu kwa nini kituo cha kupaki breakdown ni polisi...????
Hakika ni kero bin kero.
 
Dar es salaam usiku bwana...foleni zimeisha mataaa yanawaka tuuu rangi tofauti....ukipaki tu wanakuja wakihabeshi, kihindi, kichina, kiarabu, kizungu, wakichaga, kipare, kihaya, wa tanga, wasanta domingo ...wote wa viwango....migahawa mizuri ya chakula...sehemu za vinywaji zilizotulia, networking ya hali ya juu, ma "deal" kibao (kama mjanja lakini), circulation ya hela ni kubwa, kazi zinazolipa zipo huku, biashara kubwa zipo huku, ukitaka kusoma kuna variety za institutions, unapata habari za nchi wa kwanza ( information is power) wenzetu zikisha expire ndio wanazidaka. Na mambo mengi ya kueleweka.....
 
Dar es salaam usiku bwana...foleni zimeisha mataaa yanawaka tuuu rangi tofauti....ukipaki tu wanakuja wakihabeshi, kihindi, kichina, kiarabu, kizungu, wakichaga, kipare, kihaya, wa tanga, wasanta domingo ...wote wa viwango....migahawa mizuri ya chakula...sehemu za vinywaji zilizotulia, networking ya hali ya juu, ma "deal" kibao (kama mjanja lakini), circulation ya hela ni kubwa, kazi zinazolipa zipo huku, biashara kubwa zipo huku, ukitaka kusoma kuna variety za institutions, unapata habari za nchi wa kwanza ( information is power) wenzetu zikisha expire ndio wanazidaka. Na mambo mengi ya kueleweka.....
Nalo neno mkuu.
 
Back
Top Bottom