Kinachomuuma zaidi ni kwamba hawezi tena kusafiri kwasababu aliufanya urais kama kiuza sura tangu alivyoingia alikuwa ni mtu wa kuuza sura tu

Kinachomuuma zaidi ni kwamba hawezi tena kusafiri kwasababu aliufanya urais kama kiuza sura tangu alivyoingia alikuwa ni mtu wa kuuza sura tu

Status
Not open for further replies.

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Kinachomuuma zaidi ni kwamba hawezi tena kusafiri kwasababu aliufanya urais kama kiuza sura tangu alivyoingia alikuwa ni mtu wa kuuza sura tu.

lakini Sasa hivi urais umekuwa msumari wa moto tofauti na hapo awali na bado anaendelea kuharibu na kujiongezea kesi za kujibu kwasababu washauri wake ni akina kingwendu kingwendulile.
 
Binadamu tunajisahau sana' ukipokea kijiti kutoka kwa mwenzio hata kama kakosea mangapi embu jitahidi ufiche madhaifu yake ufiche Yale mabaya yake dhidi ya maadui zake.

Kule Malawi alipoingia tu' akaanza kusema huwezi kuijenga nchi bila mikopo huku akionyesha hakuwa ana akubaliana na maamuzi ya mtangulizi wake.

Now analamba kile kile alichomsalitia mwenzie

Karma haikosei njia
 
Kinachomuuma zaidi ni kwamba hawezi tena kusafiri kwasababu aliufanya urais kama kiuza sura tangu alivyoingia alikuwa ni mtu wa kuuza sura tu.

lakini Sasa hivi urais umekuwa msumari wa moto tofauti na hapo awali na bado anaendelea kuharibu na kujiongezea kesi za kujibu kwasababu washauri wake ni akina kingwendu kingwendulile.
Alipokuwa akisafiri milita matumizi mabaya ya kodi za Watanzania!!

Ameacha kusafiri ili asimamie utelezaji wa mambo aliyoahidi siku 100 za kwanza, pia mnalalamika kuwa "kinachomuuma.

Hizi nyuzi za kisenge sana. Nawaomba mvumilie tu mpaka 2030, haina namna. Wenyewe mlisusia uchaguzi kwa sera ya kijinga ya NRNE
 
Alipokuwa akisafiri milita matumizi mabaya ya kodi za Watanzania!!

Ameacha kusafiri ili asimamie utelezaji wa mambo aliyoahidi siku 100 za kwanza, pia mnalalamika kuwa "kinachomuuma.

Hizi nyuzi za kisenge sana. Nawaomba mvumilie tu moaka 2030, haina namna. Wenyewe mlisusia uchaguzi kwa sera ya kijinga ya NRNE
Japo hakuna maji ya kunywa . Dar es salaam
 
Huelewi wewe? Nilisema kijitonyama unaelewa nn? Nakwambia mjini Dar es salaam hakuna maji safi na salama ya kunywa.japo rais ana magari mapya alopewa baada ya kuua watu hapo 29 October
Irrelevant and out of context
 
Kinachomuuma zaidi ni kwamba hawezi tena kusafiri kwasababu aliufanya urais kama kiuza sura tangu alivyoingia alikuwa ni mtu wa kuuza sura tu.

lakini Sasa hivi urais umekuwa msumari wa moto tofauti na hapo awali na bado anaendelea kuharibu na kujiongezea kesi za kujibu kwasababu washauri wake ni akina kingwendu kingwendulile.
porojo zingine bana dah,

yaani kiongozi asisafiri duniani kwasababau ya ulofa wako tu, kwamba anakuogopa? :pedroP:
 
porojo zingine bana dah,

yaani kiongozi asisafiri duniani kwasababau ya ulofa wako tu, kwamba anakuogopa? :pedroP:
Haya mauaji aliyofanya yamemkosesha kusafiri kwenda kwa Mabasha wake kule Arabuni
 
Alipokuwa akisafiri milita matumizi mabaya ya kodi za Watanzania!!

Ameacha kusafiri ili asimamie utelezaji wa mambo aliyoahidi siku 100 za kwanza, pia mnalalamika kuwa "kinachomuuma.

Hizi nyuzi za kisenge sana. Nawaomba mvumilie tu moaka 2030, haina namna. Wenyewe mlisusia uchaguzi kwa sera ya kijinga ya NRNE
Kwani ameacha kusafiri kwa kupenda au kuogopa kunyakuliwa kama afanyavyo mwewe kwa vifaranga vya kuku 😁? Huo upendo wa kujali kodi zenu kautoa wapi na lini???!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom