Kinachomtesa Rais Samia ndicho kilimtesa Mzee Mwinyi

Kinachomtesa Rais Samia ndicho kilimtesa Mzee Mwinyi

Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee

Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida, bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k

Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivyo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.

Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.

Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwinyi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.

Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakini bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.

Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivyo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.

Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.

Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia

Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau?
Yaani umeongea ugoro mtupu na vitisho. Mama Samia anaweza kuwa Kama Magufuli kwa maana ya kuuawa?
 
Nenda kwa watu 100 waulize kati ya Nyerere na Mwinyi nani raisi bora? I bet >90% watasema nyerere ni bora. Ila njoo kwenye facts ndo utajua Mwinyi is way ahead of Nyerere ila shida Mwinyi haku entertain propaganda kama Nyerere
Nyerere alifanya kazi kubwa sana kwenye Taifa hili, aliacha kazi yake akajitoa kupigania Uhuru. Baada ya Uhuru akafanya kazi ya kuliunganisha Taifa kuvunja ukabila na kukazania lugha moja Kiswahili. Kama hiyo haitoshi, akasaidia nchi nyingine kupata Uhuru, Tanzania ilikuwa kimbilio. Hao unaowasema hawafui dafu kwa Mwalimu.
 
Wanaoishi na propaganda za Magufuli ni wapumbavu wachache wasiojielewa, yani mazezeta fulani hivi, watu wenye akili timamu tupo na mama na tunamuelewa.
Ingependeza ukatumia akili kuliko hisia, ili kupunguza mihemko, kwa kuuona upamde wako upo sahihi zaidi. Come on men
 
Duuh kweli binadamu hawakosi la kusema, yaani Babu Nyerere kutokua na uroho wa madaraka( power monger) hii Leo anaonekana nchi ilimshinda hivyo akaona ambwagie Mwinyi? Mkuu Dunia nzima inafahamu kuwa Nyerere ni Kiongozi Bora kuwahi kutokea Africa na Dunia kwa Ujumla.
Hakuna kiongozi yeyote bora duniani ambaye anachagua total communism mbele ya ubepari au mixed economy

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Duuh kweli binadamu hawakosi la kusema, yaani Babu Nyerere kutokua na uroho wa madaraka( power monger) hii Leo anaonekana nchi ilimshinda hivyo akaona ambwagie Mwinyi? Mkuu Dunia nzima inafahamu kuwa Nyerere ni Kiongozi Bora kuwahi kutokea Africa na Dunia kwa Ujumla.
Sio kweli, aliua kila kitu, asante mwinyi kaokoa jahazi
 
Huwa tunawaambia hapa, the two best presidents of our country ni:
• Mwl Julius Kambarage Nyerere (Baba wa Taifa)
• Mwl John Pombe Magufuli (Baba wa Uchumi)

Ahsante mleta mada kwa kutusaidia.

Note:
The two top worst presidents our country has ever had ni:
5. Samia Suluhu Hassan
6. Jakaya Mrisho Kikwete

Samia bado ana nafasi ya kuwa a good, better or even one of the best presidents of our country... Muda bado upo upande wake.
Wewe unaona hivyo na kuna wengine wanaona vingine, mfano jirani yangi hapa kila asubuhi anaweka picha ya nyerer na magufuli na kuzitandika fimbo weeee kwa muda wa nusu saa ndio anaenda kazini, ni daily routine
So kila mmoja na anavyoona
 
Wewe unaona hivyo na kuna wengine wanaona vingine, mfano jirani yangi hapa kila asubuhi anaweka picha ya nyerer na magufuli na kuzitandika fimbo weeee kwa muda wa nusu saa ndio anaenda kazini, ni daoly routine
So kila mmoja na anavyoona
Huyo jirani yako mpelekeni Mirembe.
 
Dead wrong!

Muombe radhi Mzee Mwinyi kwa kumfananisha na huyo, Raisi Mwinyi aliifanyia mazuri sana Tanzania mimi ni mmojawapo wa wanufaika, nilipanda Mabasi ya Wanafunzi, wazo zuri na la kujali binadamu wanaoteseka hasa wa hali ya chini alianzisha Mzee Mwinyi.

Hivyo kamwe usimlinganishe na Mzee Mwinyi, Samia ni sawa na Kikwete 100% kila kitu huyo ndio size yake, walinganishe hao, Mzee Mwinyi ni level nyingine kabisa!
Kweli kabisa wakati wamwinyi shule za serikali zilikuwa na vitabu vya kumwaga
 
Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee

Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida, bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k

Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivyo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.

Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.

Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwinyi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.

Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakini bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.

Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivyo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.
Naunga mkono mada uliyowasilisha. Nampongeza Rais Samia kwa utashi na utayari wake kufungua nchi na kutafuta majibu ya umaskini na kuganga majereha, kama nilivyofanya wakati wa Mzee Ruksa, Feb. 1991.

Akina Nyerere na Magufuli ni genge la wahuni tena wenye roho mbaya/katili. In fact, hata kama Magufuli angekuwa hai leo asingeweza kutetea "legacy" yake uchwara. Angejaribu lakini angefeli viabaya tu kama Mwalimu alivyofeli kwa kuipambania yake kwa zaidi ya miaka 14; tena hayati Nyerere alikuwa na "nguvu" zaidi maana propaganda zake ziliwalevya Wadanganyika mbaya kabisa kwa takriban nusu karne!

Samia, kama Mzee Mwinyi, aliipokea nchi ikiwa hoi kiuchumi, closed kisiasa na kijamii ikiwa katika mpasauko mkubwa, Asipokata tamaa na iwapo atfanyia kazi mambo muhimu, basi Mh Samia anaweza kuacha "legacy" ambayo itasimama yenyewe bila kuhitaji chawa, kupe, mamluki, wanafiki nk kuitetea siku zijazo.

Pamoja na hayo, naomba nimkubushe Mh Rais kuwa, Wakati Ukuta. Yaani atambue kuwa muda hauko siku zote ukimsubiri, hivyo ni budi atatue mambo ya muhimu, na kwa wakati:-

1. Katiba Mpya - ndio uti wa mgongo wa leo na kesho ya Taifa letu. (akifeli hapa hawezi acha legacy kwa vyovyote)

2. Uchumi hasa wa micro-level ambao unamgusa mwananchi wa kawaida (mfumuko wa bei, kero za mzigo wa kodi na tozo nk)

3. Kupambana na ufisadi - kwani miradi, matumizi mabaya/makubwa na kutoa ajira kwa vijana vimefungwa pamoja ktk eneo hili. Akipatia Na. 1, basi yuko 50% ya kutatua hii Na. 3, kwani katiba ya sasa haitokaa itoe majibu.
 
Akiwashughulikia hawa wezi wa mali za Umma kwenye report ya CAG atuletee na katiba mpya bi mkubwa atakuwa the best
 
By ze wei....SSH hili la ajira na afya 2023 nikipata pepsi yake ya 600 bariiidiiiiii apewe nitalipa😇
 
Wewe u
Aruhusu Katiba Mpya, kungekua na mfumo imara wa utawala wala asingepata mateso.
ukilala ukiamka unafikiri katiba mpya ndio suluhisho la matatizo yetu.Katiba mpya ni 8% percent 92 ni utashi wa binadamu na uungwana
 
JPM alipiga propaganda ya hatari Hadi watu wanotoka mkoani wakifika Dar na kuona Magorofa wanasema ni kazi ya Magufuli wakati kipindi cha JPM ndio kwanza Magorofa yaliyeyuka
 
Habari za wakati huu ndugu watanzania
Kazi iendeleeiendelee

Baada ya nchi kumshinda Mwalimu mwaka 1985 aliamua kukaa pembeni na kumuachia kijiti Mwinyi ambae aliingia alikuta nchi imechakaa sana, uchumi upo hovyo, wananchi wanavaa nguo zenye viraka juu ya viraka, maduka ya ushirika yamekuwa shida, bidhaa muhimu hazipatikani, nchi haina fedha za kigeni n.k

Lakini licha ya yote hayo wananchi walimpenda sana Mwalimu kutokana na propaganda zake na hotuba zake za kulaumu mabeberu na wazungu na matajiri (ref. Kitabu cha Mengi) na hivyo kupanda mbegu kuwa shida zetu zimetokana na wazungu na matajiri.

Alipokuja Mwinyi akaanza kufungua nchi, kuruhusu watu kufanya biashara, kubinafsisha baadhi ya viwanda vilivyokuwa vinaenda kufa, akatoa uhuru wa siasa, akaanza kushirikiana na Marekani et al.

Wananchi wanyonge wote wakaanza kusema Mwinyi anatumika na mabeberu huku wengine wakisema ni dhaifu (hadi Nyerere aliandika hili) lakini deep down wote tunajua Mwinyi alikuwa sahihi na Nyerere alikuwa wrong na hii imepelekea hadi leo Mwinyi hapewi heshima anayostahili na mtaa kwa sababu watu bado walikumbuka propaganda za Nyerere wakati wa utawala wake na hivyo kushindwa kumuelewa.

Upande wa SSH naye anaishi chini ya propaganda za Magufuli na licha ya mazuri yote anatofanya eg kufungua nchi, kutoa uhuru kwa raia, kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji lakini bado anaishi kwenye kivuli cha SSH.

Licha ya mapungufu yake SSH anajitahidi kufanya kazi nzuri ila ndo hivyo jamii bado imemezwa na propaganda za Magufuli aliyefanya jamii ione bila yeye hakuna kitachofanyika.

Nahofia huko mbele kama akichoka SSH anaweza fuata nyayo za JPM ili tu naye akubalike kama mtangulizi wake kitu ambacho ni tatizo.

Thanks kwa kusoma na karibu kwa kuchangia

Nb. Nafikiria kuinunua JF mnaonaje wadau?

PUMBA, TAKATAKA YANI UMEANDIKA KINYESI CHA NGURUWE
 
Back
Top Bottom