Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,929
- Thread starter
- #61
Nafikiri alisema ni dhuluma, na hiyo hali ilimtesa na kumuumiza sana mpaka alipoamua kufikiri tofautinimemwona capt tamar na ushuhuda wake,hajaingia ndani kutuambia nini kilimsibu,nahisi halikuwa jambo kubwa sana ndio maana ikawa rahisi kwake kulipotezea,kwani masahibu yanatofautiana,yapo mengine si rahisi kuyapotezea haraka,