Nafikiri wewe ndio ungetujibu tupo Umma upi hivi sasa?
unafikiri nini wakti jibu hili hapa
aya hii imeshuka wapi sababu ya kushuka ipi na Abdul Qathem amefundishaje?!.
Kwa sababu nnavojua mimi Mungu anatupa mitihani saiv, na unavotwambia wewe Mungu hampi mitihani mja wake kwa mujibu wa maandiko uloleta ambayo hayakuspecify muda.
niwekee Andiko kama hilo toka Agano kongwe..na sio umebakia andiko halikuspecify muda kwani hujui upo zama zipi?
Ukishajibu hilo na hili unijibu mana huna sifa ya kujibu masuali ukiulizwa maana unaona utadhalilika badala ya kufikiri kuwa utapata elimu, nataka nijue, Mungu huyu wa wakati wa Ibrahim ndio Mungu huyu huyu mnaemfuata wakiristo?