Pesa zote za uendeshaji wa kampuni wamefanyia usajili. Ndio hapo utaona watu walivyo wajinga kukosa kujua hata basic economic concepts.
Udart haiendeshwi na serikali, serikali wana shea minority ila ktk uendeshaji hawapo kabisa.Pesa zote za uendeshaji wa kampuni wamefanyia usajili. Ndio hapo utaona watu walivyo wajinga kukosa kujua hata basic economic concepts.
Mtu anatoa mamilioni ya hela ambayo hayana ROI unategemea nini?