Barabara za mwendokasi zitungiwe sheria yake

Barabara za mwendokasi zitungiwe sheria yake

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
17,409
Reaction score
17,014
Usafiri wa mwendokasi kama hautatungiwa sheria zake itakuwa kazi bure.

Hali ilivyo sasa ni vuluvulu
 
Si hiyo tu, dodoma kuna ring road lkn malori bado yanapita mjini..mkuu wa mkoa yupo, DC, Tanroads na matrafiki barabarani nje ya mji wapo..halafu useme kuna serikali hii nchi..!
Barabara ya mwendo kasi ilitakiwa iwekewe digital road block kwenye kila kituo..inayosoma plate namba ili kuruhusu gari ipite, bus zote za mwendo kasi zitapita..hizo zingine zote sijui serikali, jeshi hakuna kupita! Hawa ndio wanafanya gari zingine na bodaboda wavunje sheria kupita kwenye hiyo barabara..
 
Back
Top Bottom